Ukipata Hela Nunua Gari Kali, Mafundi na Spea tutajua uko uko..

Ukipata Hela Nunua Gari Kali, Mafundi na Spea tutajua uko uko..

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kama uchumi unaruhusu, nunua chuma kali tu.. Mengine tutajua uko uko..
Screenshot_20240617-120409.png


Na mafuta tujitahidi kuweka kutoka kwenye vituo vya mafuta vinavyoaminika..
Screenshot_20240617-120449.png


Sema issue ndogo ndogo kama kuosha tujitahidi kupeleka car wash za uhakika ili kutunza rangi..
Screenshot_20240617-120831.png

Na tusijenge hate, acha watu wapigaie picha chuma yako nao wakavimbe
Screenshot_20240617-120907.png

Eid Mubarak..
 
Humu JF.,bana,Kila mtu ana maisha mazuri, ni mtumishi, analipwa kuanzia 700k per month, nyumba yake Ina geti, watoto wake wanasoma shule za kulipia ana gari Kali 🤣

Dah😁
 
Back
Top Bottom