Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kama uchumi unaruhusu, nunua chuma kali tu.. Mengine tutajua uko uko..
Na mafuta tujitahidi kuweka kutoka kwenye vituo vya mafuta vinavyoaminika..
Sema issue ndogo ndogo kama kuosha tujitahidi kupeleka car wash za uhakika ili kutunza rangi..
Na tusijenge hate, acha watu wapigaie picha chuma yako nao wakavimbe
Eid Mubarak..
Na mafuta tujitahidi kuweka kutoka kwenye vituo vya mafuta vinavyoaminika..
Sema issue ndogo ndogo kama kuosha tujitahidi kupeleka car wash za uhakika ili kutunza rangi..
Na tusijenge hate, acha watu wapigaie picha chuma yako nao wakavimbe
Eid Mubarak..