Kabisa.Naongezea.Kuna magari na vipando.Kuna gari Na motokaa......hizo sasa ndio gari
RB20
Ni shida mkuuIkeda. Vijana wote wa mjini wananukia Ikeda.
Aseeee nna BMW X3 inakula wese kama scania yaaan ebu nipe maujanja changamoto ipo wapiHakuna kupiga misele. Picha tu.. ππ