Nawakumbusha wanaume wenzangu wote wenye mke zaidi ya mmoja. Mke mdogo asikufanye ukamsahau au ukampuuza mke mkubwa.
Mke mdogo amenifanya nizidi kumpenda sana mke mkubwa.
Naongea kikubwa kwa elimu na maarifa na kwa insafu tuwapende wake zetu, watoto zetu na wale walio karibu yetu.
Ukweli ulivyo ni kuwa mbora wetu kwa sisi wanaume ni yule ambaye ni mbora kwa wake zake, watoto wake.
Asanteni sana.
Mke mdogo amenifanya nizidi kumpenda sana mke mkubwa.
Naongea kikubwa kwa elimu na maarifa na kwa insafu tuwapende wake zetu, watoto zetu na wale walio karibu yetu.
Ukweli ulivyo ni kuwa mbora wetu kwa sisi wanaume ni yule ambaye ni mbora kwa wake zake, watoto wake.
Asanteni sana.