Ina pendeza fanyia kazi hilo.sawa mkuu tum3lichukua
Hawa unaweza ukawauliza wenyewe.kwani masingle mother’s wana semaje kuhusu hili!
Shukrani sana.Mkuu hongera kwa kuwa na wa wake wawili na kuwapenda wote
Tunasema ni ushauri wa maana sana!!!! Tekelezeni!kwani masingle mother’s wana semaje kuhusu hili!
Kijana naona siku hizi umekuwa unaandika mambi ya uongo sana.Nachojua Upendo haugawanyiki
Hapa inabidi tuwaulize wajuzi wa lugha watuambie ya kuwa je "Mchepuko" na yeye ni mke au ni kimada ?Hata mchepuko ni mke mdogo pia. Kwahiyo asikufanye umdharau Bmkubwa
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Ndio maana nimesema kwamba Upendo haugawanyiki. Kuna utakae mpenda zaidi iwe kwa watoto au mke. Ndio mfumo wa maisha unless otherwise Unataka ligi tu mkuuKijana naona siku hizi umekuwa unaandika mambi ya uongo sana.
Upendo unagawanyika endapo ukijua wewe ni mwanaume na wajibu wako ni nini.
Wanaume tumeumbwa kumiliki mke zaidi ya mmoja ndiyo maana hili kwetu ni jambo sahali sana.
Kisichowezekana ni kuwapenda wake zako wote kwa upendo ulio sawa (hapa tayari umeshagawanya upendo),sababu mapenzi na upendo huchagizwa na unaye mpenda. Ila kinachowezekana ni wote kuwahudumia kwa stahiki zao.
Hata kwa watoto,kwa sisi tulio ruzukiwa watoto,huwezi kuwapenda watoto wako wote sawa ila tunaweza kuwahudumia wote kwa usawa.
Hapo tayari ushaugawanya huo upendo,ndiyo maana yule unampenda kidogo yule unampenda sana.Ndio maana nimesema kwamba Upendo haugawanyiki. Kuna utakae mpenda zaidi iwe kwa watoto au mke. Ndio mfumo wa maisha unless otherwise Unataka ligi tu mkuu
Sisi tunamfananisha na tochi moja,likizima sijui unafanyaje.Mke Mmoja Analemaza Akili
Haa HaaSisi tunamfananisha na tochi moja,likizima sijui unafanyaje.
Kwakua upendo haugawanyiki basi inabidi uoe yule tu unayempenda ambae huwezi shea upendo wake na wengine.Hapo tayari ushaugawanya huo upendo,ndiyo maana yule unampenda kidogo yule unampenda sana.