Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mara baada ya mechi kocha alihojiwa juu ya ushindi ule hapa DSM dhidi ya Primiero De Agosto.
Mtangazaji: Vipi matokeo ya leo unayaelezea vipi?
Mgunda: Nawashukuru wachezaji wakongwe kikosini wakiongozwa na Kapt. John Boko, Erasto nyoni, Jonas Mkude na Chama kwa kunisaidia kunipa mbinu.
Kama kocha alijishusha mno na kusahau mbinu zake na akaamini mbinu za wakongwe kikosini.
Na jana akaona isiwe tabu akaona awaanzishe wakali wa mbinu ili amalize mchezo.
Kilichotokea mmekiona.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mtangazaji: Vipi matokeo ya leo unayaelezea vipi?
Mgunda: Nawashukuru wachezaji wakongwe kikosini wakiongozwa na Kapt. John Boko, Erasto nyoni, Jonas Mkude na Chama kwa kunisaidia kunipa mbinu.
Kama kocha alijishusha mno na kusahau mbinu zake na akaamini mbinu za wakongwe kikosini.
Na jana akaona isiwe tabu akaona awaanzishe wakali wa mbinu ili amalize mchezo.
Kilichotokea mmekiona.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app