Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kwa ligi ya Tanzania timu ambayo haifungwi ipo au wewe hauijui?Kwani kuna team gani duniani ambayo haifungwi mashabiki wa bongo kweli hatujielewi
Kwann sasa Yanga akifungwaga huwa mnashoboka kama unalijua hili La timu zote kufungwa dunianiKwani kuna team gani duniani ambayo haifungwi mashabiki wa bongo kweli hatujielewi
Yanga si kaadhimisha unbeaten juzi kafungwa lini yanga?Kwann sasa Yanga akifungwaga huwa mnashoboka kama unalijua hili La timu zote kufungwa duniani
Ongezea na Jonas mkude.Ndugub kuna wanasimba hawataki kuambiwa ukweli Kuna group Moja niliwaambia ukweli leo kuwa bocco,,nyoni,,matola muda wao umekwsha wakanijibu na wadharau wachezaji na kuwakashfu...... lastly wamen-remove kwny group