johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Natoa tu angalizo tunapouendea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na ule Uchaguzi mkuu wa mwakani
Jiepushe kabisa kutumia Waganga wa Kienyeji, Wachawi na Rushwa kwani hao ni maajenti wa Shetani.
Pia soma: Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Ukitaka Uwakilishi halali wa Wananchi basi mtangulize Mungu wa mbinguni ukiwashirikisha Viongozi wa Dini
Nawatakia Dominica Njema 😄
Jiepushe kabisa kutumia Waganga wa Kienyeji, Wachawi na Rushwa kwani hao ni maajenti wa Shetani.
Pia soma: Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Ukitaka Uwakilishi halali wa Wananchi basi mtangulize Mungu wa mbinguni ukiwashirikisha Viongozi wa Dini
Nawatakia Dominica Njema 😄