Ukipatwa janga TZ usitegemee Msaada wa haraka

Ukipatwa janga TZ usitegemee Msaada wa haraka

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Kwenye sekta ya uokozi bado sana. Majanga hatujayapa kipaumbele zaidi ya ununuzi wa Magari ya kifahari. (MV Bukoba, Ajali ya Treni Dodoma, Tetemeko Bukoba, COVID, Ajali precision air, jengo kuanguka Kariakoo).

2. Watu wamekwama hapa hapa kariakoo siku ya pili bado hakuna aliyejiuzulu mpaka leo - uzembe uliopitiliza.

3. Punde tutashuhudia ziara za Mawaziri na VX zao na hotuba za kutosha.

4. Chawa wamenyuti wanasubiri matamasha.
 
Tupo kwenye dunia yetu wenyewe. Nadhani kuna kitengo cha majanga chini ya ofisi ya waziri mkuu. Sijui hela ambayo huwa wanatengewa kila mwaka inafanya nini? Braabraaa nyingi sana.

Nawaza matetemeko yanayotokea nchi nyingine yakitokea Tz mbona tunajifia bila msaada.
 
Nilifikiri kwa kua limetokea kwenye uso wa Tanzania baasi uokozi utafanyika kwa nguvu zote na taaluma ya uokozi itatumika,.

Kinachofanyika ni kuzuga wananchi kwa nje, kwenye vipengele kama hivi tuna safari ndefu.
 
Kwa nature la hilo tukio, uokoaji hua ni taratibu taratibu every where duniani.

Ni kweli viongozi wetu ni wazembe, ila kwa hilo tukio, Mtawaonea bure.
 
1. Kwenye sekta ya uokozi bado sana. Majanga hatujayapa kipaumbele zaidi ya ununuzi wa Magari ya kifahari. (MV Bukoba, Ajali ya Treni Dodoma, Tetemeko Bukoba, COVID, Ajali precision air, jengo kuanguka Kariakoo).

2. Watu wamekwama hapa hapa kariakoo siku ya pili bado hakuna aliyejiuzulu mpaka leo - uzembe uliopitiliza.

3. Punde tutashuhudia ziara za Mawaziri na VX zao na hotuba za kutosha.

4. Chawa wamenyuti wanasubiri matamasha.
Msafara wa mtu mmoja anatembea nchi nxima magari 150.

Lakini hawana gari hata moja la Ambulance wala Standby team
 
1. Kwenye sekta ya uokozi bado sana. Majanga hatujayapa kipaumbele zaidi ya ununuzi wa Magari ya kifahari. (MV Bukoba, Ajali ya Treni Dodoma, Tetemeko Bukoba, COVID, Ajali precision air, jengo kuanguka Kariakoo).

2. Watu wamekwama hapa hapa kariakoo siku ya pili bado hakuna aliyejiuzulu mpaka leo - uzembe uliopitiliza.

3. Punde tutashuhudia ziara za Mawaziri na VX zao na hotuba za kutosha.

4. Chawa wamenyuti wanasubiri matamasha.
Hotuba wakati watu wako ndani ya kifusi. Hili linapaswa kuwa ajabu la nane duniani 😭😭😭.
 
muda wao wa kufanya maokozi mwisho saa 12 jioni, usishangae wakitoa vifaa vyao na watu kuondoka eneo la uokozi sababu muda unakuwa umefika na waathirika wakiwa wakihitaji kusaidiwa muda huo
 
muda wao wa kufanya maokozi mwisho saa 12 jioni, usishangae wakitoa vifaa vyao na watu kuondoka eneo la uokozi sababu muda unakuwa umefika na waathirika wakiwa wakihitaji kusaidiwa muda huo
Tupo Makini?
 
Back
Top Bottom