otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 132
- 230
Lala huko kichaaUkipewa elfu 10 halafu halafu uambiwe umpe kila ex wako elfu moja, utabakiwa na kiasi gani?
Kila mtu aseme ukweli.....[emoji23][emoji119]
Ntakuwa na madeni ya kutoshaUkipewa elfu 10 halafu halafu uambiwe umpe kila ex wako elfu moja, utabakiwa na kiasi gani?
Kila mtu aseme ukweli.....[emoji23][emoji119]
Kama hauna ex tuambie ulishawahi kulia kwasababu ya mapenzi? Usidanganye!Je kama hauna ex
Ni huyu[emoji119]X ndo Nani please.?