Kuna umuhimu wa kumfuata piemu aisee....
Ukizingatia kama mie nahitaji nusu yake tu hata sio nyingi....
Alishakupa hiyo pesa,ww nipe hapo kama 20M,ndani ya miezi 3 nakurudishia 35M pamoja na riba.
Ni kitu gan utafanya ili ulipe hio fedha haraka hivi
anatakiwa arududishe kwa mwaka milion 195Mkuu wasiliana na atoto na miss chagga ndo wazuri kwenye hesabu za pesa
Ni kitu gan utafanya ili ulipe hio fedha haraka hivi
kwa ujumla sijajua itaingiza faida ya sh ngapMtoa mada kuna vitu unaficha.
Funguka usaidiwe.
Pia unasema unaifanyia biashara.
Kama huna vitu unaficha jibu unalo tayari.
Tuambie biashara inaleta faida kiasi gani ili tukusaidie kugawanya ngapi umrudishie na ngapi ubakie nayo kwa ajili yakusuport biashara.
Kwanini uwe mchoyo mkuu
Njoo pm nipe siri
Mkuu wasiliana na atoto na miss chagga ndo wazuri kwenye hesabu za pesa
Au zilete kwenye betting..Soon utakuwa tajiri..Ila nenda kaweke oda ya kitanda kabisa milembe...jst in case mambo yakienda kombo