Ukipewa UNAZAMISHA TU...!!

Ukipewa UNAZAMISHA TU...!!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Kuna baadhi ya Wanawake wameSUGGEST Kwamba
kuna Wanaume wanahitaji kuvaa BADGE ya LENA
(Learners) kwenye Zipu kwa sababu Hawajui Mapenzi
na hawataki waambiwe hawajui wala hawako tayari
wafundishwe kwa sababu wanajiona wanajua kumbe
HAMNA KITU.. Kissing hujui...
Touching Hujui..
Hujui kuweka LoveBite...
Hujui kukuna kitovu..
Hujui 'kunawa bwawani' unazamisha tu kama
unaranda mbao.. Hujui A Spot ni nini wala G ilipo... Na Ukipewa midundo yako haieleweki,unaanza kama
Hip Hop mara unachanganyia RnB halafu ghafla
KITORONDO.Kabla mdada hajaelewa unachofanya
USHAMALIZA!
Halafu unatutambulisha "SHEMEJI YENU HUYU
ANAITWA SARAH" Shemeji yetu au MKE WETU??? My Fellow Men GO AND LEARN...Na ukiambiwa bado LENA
usinune Haikusaidii..
 
Mapenzi ni kufundishana hakuna aliyefuzu hata siku moja ,kwahiyo ukikuta hajui mfundishe
 
hivi wanyama jike kama mbwa ,ngombe sungura na wana g spot au a spot?
Hapana weka ufundi mwingi katika sehemu ya ujazaji wa viumbe duniani.
 
G spot ndo mpango fanyeni muibambe kwa wahusikia

mm nisha ibamba
 
Endeleeni tuu kutafuta cjui X-Spot mi niendelee kutafuta $$-Spot kwanza ila tutakutana tuu.
 
Back
Top Bottom