Pre GE2025 Ukipigwa Mdahalo kati ya Mwenyekiti UVCCM na Mwenyekiti BAVICHA ni wazi wa UVCCM ataonekana ni mweupe!

Pre GE2025 Ukipigwa Mdahalo kati ya Mwenyekiti UVCCM na Mwenyekiti BAVICHA ni wazi wa UVCCM ataonekana ni mweupe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
kama unanamba yake ya simu....mwambie apunguze mzuka wakati anaongea na wananchi , awe mkali ndio ila asitengeneze mazingira ya kumeza Panadol baada ya kuhutubia(arilax awapo jukwani na vyombo habari)
 
Unafananishaje mtu mwenye ubongo na mtu mwenye uji wa kijani kichwani?
 
Back
Top Bottom