Ukipinga Kodi kwa kufunga duka unamkomoa nani? Tujifunze kwa Wakenya

Ukipinga Kodi kwa kufunga duka unamkomoa nani? Tujifunze kwa Wakenya

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Ninaendelea kumsikiza!

"Yaani sisi Tanzania tunapinga kodi kwa kufunga maduka, wakati wenzetu Kenya wameandamana. Ukifunga duka unamkomoa nani? Usifikiri kwamba unaikomoa serikali, sababu wataendelea kukusanya makato ya mikipo mliyochukua.

"Serikali haikomoleki, andamaneni mdai haki zenu. Mnaogopa kufa kuandamana kudai haki zenu? Kenya wamepotez vijana watano, na waandamana huku wakisema hatujaacha kuandaman, leo Alhamisi na bado wanaandamna, wakisema siyo kufikiria ule muswada bali ni mpaka Rais ajiuzulu.

"Wanasema hawawezi kuongozwa na Rais anayeruhusu raia wake wafe katika maandamano ya kudai haki zao. Sisi Tanzania tunashindwa hata kuandamana, eti tunaogopa kufa!"


Pia soma:

Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024

LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
 
WEWE MGONJWA SANA.
MUONGO SANA,
Kwa maandamano wengi tuu wameuwawa na kuumizwa, labda ulikuwa ujazaliwa.
Kuna Jan 27 kKule pemeba miaka ileya mkapa.
hata Mwaka Juzi wakati Mwinyi anagombea uraisi, Zanzibar Kuna mauwaji makubwa yalifanyika baaada ya Maandamano kudhibitiwa na wengi kujeruhiwa.
Wajati wa CUF Ngangari Pr Lipumba alivunjwa Mguu kama sikosei na wengine kuwaw an kumizwa.
Sakata La Mwembe chai ,watanzania wengi tuu waliumizwa na wengine kuwawa na wengine vilema hadi leo.
Kule Zanzibar Issue ya Sofia Kawawa, kuna vilema hadi leo.
KAMA HUJUWI NDO NAKUPA HABARI.

maandamano ni aina fulani ya Upimbi kwa kuwa huwa hayanaga mwisho mwema kwa Watawala hawa BRUTAL rulers

Kama Uechoka kuishi basi jitokeze ukaone cha mtema kuni.
Wenzetu Kenyawalibadili KATIBA KWANZA na kuweka sheria za uhuru wa kuandamana .
Mahakama Huru,
Na mwisho katiba yao imeweka uhuru mwingi mno kwa raia.
labda ndio maana ukaona Polisi wamekuwaga wapole ki vile na mauwaji hayakuwa makubwa.
lakni TZ Ukijaribu ,andaa makaburi ya Kimbari.
Viroba wanavyo vingi sana hawa jamaa, na bahari yetu ina kina kirefumno.
Maiti zitatapakaa kwenye fukwe na samaki watanona mno.

Heriya Nusu Shari kuliko shari kamili.
kama tumesikilizwa na kupewa angalau nusu ya madai yetu hii ni hatua njema.

HONGERA WATANZANIA KWA KUJALI AMANI NA USLAM WENU KWANZA.
Huyujamaa mwacheni akajitie kitanzai kama anatamani mauti
 
At least wa Kariakoo wanajaribu kutafuta haki yao, nia ni moja style tofauti tuu, tuwape support sio kuwabeza utakuwa mwanzo mzuri
 
Back
Top Bottom