Nacho cha Ruwa
Member
- Jul 10, 2009
- 31
- 1
Ukipigiwa simu kwa nambari binafsi (private no.) au ikiandika call kwa red usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.Imetokea kenya watu wamekufa.
Julisha ndugu & jamaa wote.
Msaada tafadhali wanajamiii
Ukipigiwa simu kwa nambari binafsi (private no.) au ikiandika call kwa red usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.Imetokea kenya watu wamekufa.
Julisha ndugu & jamaa wote.
Msaada tafadhali wanajamiii
Ndugu sikuelewi, namba binafsi Tanzania hazitumiki.
Unapokea simu unakufa !!!!
Watu wangapi wamekufa hadi sasa nchini kenya?
lete scientific proof...soo wote walowahi ku-paralyse na kufa tokea dunia iumbwe walipokea simu hiyo???...TUACHE UJINGA TUTUMIE JAPO ROBO TUU YA AKILI ZETU KU-ANALYSE ISSUE NDOGONDOGO KAMA HIZI