Ukipokea simu unaweza kupoteza maisha(kufariki)

sasa mi cmu yangu ni black kala, iyo rangi nyekundu itatoka wapi? afu uyo aliyepokea akafa alisema kabla ajafa kuwa "jamani nimepokea cmu yenye mionzi kwa hiyo nakufa sasa" alafu hakuna hyo huduma ya private namba kwa sasa kuanzia zoezi la kusajili cm lilipoanzishwa hapa nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…