Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Wakuu Umuofia,
Kama heading inavyojieleza hapo juu napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa yeyote anaehusika nimewasili katika hospitali hii ya wilaya kwa minajili ya kumtibia mke wangu lakini cha ajabu ni kwamba ni zaidi ya saa mbili sasa hakuna huduma yoyote niliyopatiwa zaidi ya kukabidhiwa kadi ya tembo afya lakini hakuna kinachoendelea kwa kile wanachodai ni hakuna mtandao hivyo kusababisha foleni.
Ombi langu ni kwamba kwanini kusiwe na mbadala wa hicho kinachoitwa mtandao?
Ikumbukwe wengine wanakuja hapa wapo sirias kimyakimya mfano hawa wanawake unakuta mtu anamaliza pedi2 bila kupata huduma na yupo hospitali
Naomba mlitizame kwa jicho la tatu suala hili
Kama heading inavyojieleza hapo juu napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa yeyote anaehusika nimewasili katika hospitali hii ya wilaya kwa minajili ya kumtibia mke wangu lakini cha ajabu ni kwamba ni zaidi ya saa mbili sasa hakuna huduma yoyote niliyopatiwa zaidi ya kukabidhiwa kadi ya tembo afya lakini hakuna kinachoendelea kwa kile wanachodai ni hakuna mtandao hivyo kusababisha foleni.
Ombi langu ni kwamba kwanini kusiwe na mbadala wa hicho kinachoitwa mtandao?
Ikumbukwe wengine wanakuja hapa wapo sirias kimyakimya mfano hawa wanawake unakuta mtu anamaliza pedi2 bila kupata huduma na yupo hospitali
Naomba mlitizame kwa jicho la tatu suala hili