Ukisafiri utakuta mke wako ametembea na watu wengine

Kilichokushinda Nini,hamu?😅
 
Kwani hao wajeshi huko wanapoenda una uhakika hawana michepuko ya kuwaondolea nyege?

Distance relationship haijawahi kuwaacha couple salama kuchepuka lazima

Ukisafir kikazi huwa unajiaandaa kisaikojia mkuu inaonekana
 
Duuh haya mkuu
Nilishakaa nyumba moja na mjeda ila vyumba tofauti(Ngomeni). Mjeda alikuwa anaenda job miezi 6 hajarudi, na pale wapangaji tulikuwa wawili tu. Mimi na mjeda. Niliona yule mwanamke wa mjeda alivyokuwa akisumbuka hadi siku moja akanipa simu yake kumsetia email. Kwenye YouTube Search nikakutana na 'Keyword' 'Jinsi ya kumtongoza mwanaume' nikajua tayari natafutwa hapa.... 😀

Ila nilikaza mzee 'Tamaa mbele, mauti nyuma'.
 

Vizur kwa kuongea ukweli
 
Kiukweli staki kuyajua ya mkewangu ila hakuna jins
Utayajua tu kwa kusoma kama hivi hapa hao wanajeshi ulioandika kuhusu wake zao wanasoma hapa wanajua mbivu na mbichi. Na wakati mwingine utaambiwa live bila kupepesa macho.
 

[emoji23][emoji23][emoji23] mawindo
 
Wanaume tunafute maisha hao wanawwke hatujazaliwa nao kiasi kwamba wakiliwa tutakufa, nop yaani uache kupambana Kwa kuhofia eti ataliwa, Hawa wanaoliwa bila sababu labda kungekuwa na formula ya kufuata Ili wasiliwe hamna, ukiwa na hela mwanamke ataliwa na asiye na hela mcheshi na maarufu, kuwa masikini ataliwa na wenyewe hela, ukiwa pasta waifu ataliwa na muhuni tu, utashangaa sababu ni eti unaleta uchungaj kitandani, hawana formula ya kuliwa tutafute maisha kwa ajili ya watoto wetu ambao tumewaleta duniani, maandiko yansema "Baba Bora ni yule anaye waachiwa urithi watoto wake" tupambane
 
Wake zenu ndo wanataka nyie mnapiga wahuni.unajua huwa wanawaambiaje mi nakupa ila ukishikwa utajua mwenyewe muhuni anasema we nipe mi sishikwagi ninayo kizizi 😂😂😂umkimshika mama anaenda kwingine hivyo hivyo mpaka mke wako unamkuta anakatiwa na mkubwa wa kazi unarudi home unampiga risasi na wewe uwoga wa jela unajimaliza...swala ni moja akichepuka achana nae hafai
 
Utayajua tu kwa kusoma kama hivi hapa hao wanajeshi ulioandika kuhusu wake zao wanasoma hapa wanajua mbivu na mbichi. Na wakati mwingine utaambiwa live bila kupepesa macho.

Nivizur ili wajie wanafanyaje mkuu ndo mambo yalivyo
 

Nikweli mkuu uko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…