Kilichokushinda Nini,hamu?😅😂😂😂mi maisha ya kukaa mbali na MTU nimeyaishi na yalishanishinda na siyawez kabisa yaan.....itokee tu labda nipo ndani ,umesafiri kikaz unarudi baada ya muda Fulani lakini siyo mi nakaa mbeya wewe dar kuonana miez kadhaa mbele,tena unakaa week unarudi dar huko unakaa miez...aisee hapana
Kikubwa maombi aiseeKaka mshana tumuombee mungu lakin hali ni mbaya
Nilishakaa nyumba moja na mjeda ila vyumba tofauti(Ngomeni). Mjeda alikuwa anaenda job miezi 6 hajarudi, na pale wapangaji tulikuwa wawili tu. Mimi na mjeda. Niliona yule mwanamke wa mjeda alivyokuwa akisumbuka hadi siku moja akanipa simu yake kumsetia email. Kwenye YouTube Search nikakutana na 'Keyword' 'Jinsi ya kumtongoza mwanaume' nikajua tayari natafutwa hapa.... 😀Duuh haya mkuu
Wasisitizwe kutumia Kinga ili wajishtukieDaah tuna kazi sana wanaume mungu atusimamie kiongoz
[emoji23][emoji23][emoji23]mi maisha ya kukaa mbali na MTU nimeyaishi na yalishanishinda na siyawez kabisa yaan.....itokee tu labda nipo ndani ,umesafiri kikaz unarudi baada ya muda Fulani lakini siyo mi nakaa mbeya wewe dar kuonana miez kadhaa mbele,tena unakaa week unarudi dar huko unakaa miez...aisee hapana
Niko na screenshots za kunicheat hapa,nitaweka jf ifahamu tabia yako😅😂😂😂😂😂🙊
Utayajua tu kwa kusoma kama hivi hapa hao wanajeshi ulioandika kuhusu wake zao wanasoma hapa wanajua mbivu na mbichi. Na wakati mwingine utaambiwa live bila kupepesa macho.Kiukweli staki kuyajua ya mkewangu ila hakuna jins
Nilishakaa nyumba moja na mjeda ila vyumba tofauti(Ngomeni). Mjeda alikuwa anaenda job miezi 6 hajarudi, na pale wapangaji tulikuwa wawili tu. Mimi na mjeda. Niliona yule mwanamke wa mjeda alivyokuwa akisumbuka hadi siku moja akanipa simu yake kumsetia email. Kwenye YouTube Search nikakutana na 'Keyword' 'Jinsi ya kumtongoza mwanaume' nikajua tayari natafutwa hapa.... [emoji3]
Ila nilikaza mzee 'Tamaa mbele, mauti nyuma'.
Ndio maana wahuni wengine wanawekea password. Nenda kichwa kichwa utarudi na fuvu. 😂Sasa uache kitu kama hii home miezi pekeyake... Unategemea nini? Shetani akulindie!?View attachment 2474890
😂wananielewa tayari tabia yangu mbaya mbona🚶🚶Niko na screenshots za kunicheat hapa,nitaweka jf ifahamu tabia yako😅
Wanaume tunafute maisha hao wanawwke hatujazaliwa nao kiasi kwamba wakiliwa tutakufa, nop yaani uache kupambana Kwa kuhofia eti ataliwa, Hawa wanaoliwa bila sababu labda kungekuwa na formula ya kufuata Ili wasiliwe hamna, ukiwa na hela mwanamke ataliwa na asiye na hela mcheshi na maarufu, kuwa masikini ataliwa na wenyewe hela, ukiwa pasta waifu ataliwa na muhuni tu, utashangaa sababu ni eti unaleta uchungaj kitandani, hawana formula ya kuliwa tutafute maisha kwa ajili ya watoto wetu ambao tumewaleta duniani, maandiko yansema "Baba Bora ni yule anaye waachiwa urithi watoto wake" tupambane
Lazima wadau wakusaidieSasa uache kitu kama hii home miezi pekeyake... Unategemea nini? Shetani akulindie!?View attachment 2474890