Ukisafiri utakuta mke wako ametembea na watu wengine

Yaani bodaboda wanapenda mambo ya hatar sana 🤔🤔..
Akishikwa hapo utasikia shetani kanipitia kumbe kila siku anapiga route kwa mke wa watu.
 
Ulitaka waliwe nani... !!?? Mbwa au ng'ombe
 
Ni wako akiwa kwako akitoka nje si wako
 
Matamshi ya mitaani usiyalete kwenye maandishi. Sema mpaka na andika mpaka sio mbaka. Unakuwa ka binti. Kenge wee

Kaka heshima kitu cha bule sana kama huwezi kulekebisha mtu mbaka umtukane nibola ukakaa kimya ukaacha yapite jiheshimu hakuna uliemskia katukana humu au nimemtukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…