Ukisafiri utakuta mke wako ametembea na watu wengine

Sasa uache kitu kama hii home miezi pekeyake... Unategemea nini? Shetani akulindie!?View attachment 2474890

Mkuu kuna uzi humu uliletwa sijui warembo kumi duniani ivi uliona?? Wale warembo hawafiki hata robo kwa hii kazi mama.e.... alafu mtu anakwambia ulaya pazuri, bongo siami hata iweje..... hata wala asali wabakishe makapi me sitoki hapa
 
Wewe ni Me au Ke? Halafu rekebisha maneno haya:
1. mbaka
2. bas
3. analudi
4. ndio hivo
5. Shughuri
6. asubuh
7. nilivoina
8.malanyingi
9. bhasi
10. wauni
11. ghafra
12. flow
13. ambae
14. Tutasafilisha
 
Wewe kariri tunaowa wake za watu. Yule aliyeondoa usichana wake ndiye mme halali. Mwanamke haeleweki, moyoni anaweza kuona wewe ni "bamia" ila kwa kuwa mmeshaoana anashindwa kukuambia, ndio sababu anafuata "tango" la uhakika nje. Kazoea kula tango na sio bamia.
 
Wewe ni Me au Ke? Halafu rekebisha maneno haya:
1. mbaka
2. bas
3. analudi
4. ndio hivo
5. Shughuri
6. asubuh
7. nilivoina
8.malanyingi
9. bhasi
10. wauni
11. ghafra
12. flow
13. ambae
14. Tutasafilisha

Sawa mkuu nimekuelewa shukrani
 

[emoji23][emoji23][emoji23]aloo
 
Mkuu kuna uzi humu uliletwa sijui warembo kumi duniani ivi uliona?? Wale warembo hawafiki hata robo kwa hii kazi mama.e.... alafu mtu anakwambia ulaya pazuri, bongo siami hata iweje..... hata wala asali wabakishe makapi me sitoki hapa

Umeona iyo aliokuwekea kaka mshana ni balaa mkuu
 
"Wanajeshi ni kawaida awe me/ke kupigwa na kupigiwa nje ya ndoa ni kawaida amimi !!!amini!!!nakwambia"
 
Ukiwa nae hujasafiri ndio haliwi?

Unatumia mifano ya hao kaka zako wanaokaa nje mwaka kuhalalisha mawazo yako mgando dogo?

Kuliwa ni hulka ya mtu tu, anaweza kuliwa uliye nae chumba kimoja kutwa.
Muache huyu Ni mtt anakua bado. Ama inaonekana pia anawatamani so anaumia wao kuliwa.
Hajiulizi Kama Kaka zake huwa hawali huko nje wakisafiri.

Mke anaweza toka akaenda sokoni akaliwa anarudi na mboga mnapika mnakula anaoga anakuja unamkula nayeye.

Pia namuona bado hawezi beba negative sides za ndoa kwani yeye Ana uhakika gani baba take hakujua mama yao anatoka sema akakaza roho mpaka Leo wako na strong family.

Sikia Kama unadhania mkeo hatagongwa nje na unaogopa kuoa kisa icho tu Basi nashauri usioe. Mbona hizi mambo tokeo from our ancestors during caveman era that lived billions of years ago yalikuwepo so ndio unakuja kuyashangaa sahivi.
Narudia kusema wewe bado Ni mtt na u kijana bado around 20s so unawaza dunia ya kivyakovyako Ile ideal. Hakuna dunia ideal hata mie sijui maza alichepuka how many times akiwa huko shambani mkuu analima anasenya kuni.


Mbona unataka kuifanya dunia iwe perfect nothing is quite black/white or 0%/100%. Remove white and black thinking live in between or accept otherwise utateseka maisha yako yote.


Dada zako tu kwani hawatongozwi hapo kabla hawajaolewa ama wakiwa wameolewa.


Mpunguzeni maada za kitoto life isn't all about pussssy
 
Ukweli ni kwamba uvumilivu wa mwanamke ni mdogo sana kulinganisha na mwanaume. Ila kula mke wa mtu sio vizuri kabisa, wanawake wako wengi sana kwanini ujihatarishe namna hiyo.
Ni vyema unapotambua jimama unalofukuzia limeolewa temana nalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…