DohJF imejaa watoto wa shule. Kwani hujalipiwa Ada wewe urudi shuleni?
Sasa uache kitu kama hii home miezi pekeyake... Unategemea nini? Shetani akulindie!?View attachment 2474890
Wewe ni Me au Ke? Halafu rekebisha maneno haya:Habar wana jamii forums, natumaini wote niwazima mungu anaendelea kutupigania.
Jaman NASISITIZA na KUSISITIZA kama umeondoka nyumbani kwako na kusafiri kikazi na kumuacha mkeo bhas niamini mimi umewaachia wauni wengine wale na niamini unaesomaa hii mada kama upo mbali na mkeo jua analiwa. Ukubali ukatae we jua hivyo mbaka utakapo rudi tofauti na hapo fanya maamuzi magumu nitatoa mfano.
Nina ndugu yangu ambae ni kakaangu ambae ni mwanajeshi Commando kabsa now yupo njee ya nchi kidogo wana mission yao, wapo huko wiki moja iliopita.
Nilikuwa nae alirudi tuliongea mengi sana lakin kitu kimoja ambacho kilinishangaza aliamua kuachana na mkewake kabsa na kudeal na watoto wake tu bhas mbaka leo skujua Kwanini aliamua kuchukua maamuz yale ghafra bas mbaka leo anaishi na kuwalea watoto wake na hataki kuskia habar ya mke.
Sasa leo ndo nimejua kwanini braza ataki mke hapa ninapoishi nimechukua apartment sasa nina jirani yangu ambae anakaa flow ya chini huyu mwamba na yeye ni mwanajeshi ila nayeye yupo njee ya nchi kwa mission maalumu sasa hawa wakiendaga mission njee wanakaa mwaka wakirud atakaa wiki ndo likizo yake anasepa mbaka tena mwaka ndo maisha yao.
Sasa mwamba kaoa anamke na mkewake saiv ni mjamzito na mwamba kaondoka kitambo so kamuacha mkewake lakin huku hali ni ya hatar kuna jamaa ambae ni bodaboda ambae anambeba sana huyu dada kila siku sasa kuna kitu kinaendelea huyu boda nahsi anakula mzigo sababu huyu boda katika wiki lazima aje kwa huyu dada nashuhudia sana na akija anaingiza pikipiki ndani anaipaki then anazama ndani kwa manzi na kutoka ni baada ya masaa mengi kupita akiingia jion kutoka ni usiku unakuta saa 5 ndo anasepa na huwa namchora sana.
Na chakushangaza hawana undugu wowote na mke wa mjesh wala mjeshi mwenyew malanyingi namkutaga kijiweni na wenzake sasa hii hali ya kuja kwa huyu mke wa jirani yangu imezid nasio kawaida wanawake sio kabsa huyu boda anakula sana huyu dada sababu mmewake kaondoka kitambo njee.
Hataleo nimetoka asubuh kuna vitu nilikuwa naenda kuchukua nafika kwenye parking ya magar nakuta na yeye kapaki pikipiki yake nilivoina tu pikipiki nikajua eheeh kumekucha huko na ukizingatia leo asuh kimvua kilikuwa kinapiga nikachukua gari nikaondoka narud mida ya saa 5 asubuh bado nakuta boda ipo parking na nilitoka saa 12 asubuh niksema kweli shughur sio ndogo kwasababu huyu dada mmewake Kamuachia kilakitu mbaka gari mbili zipo kaziacha zimepark lakin dada kamganda bodaboda.
Jamani hawaviumbe wa kike nishida lakini ndio hivo ni kuishinao kwa akili sana ila ndoivo ngoja tuone mwisho wake utakuaje ila namuombea mungu boda asidakwe maana heeh sjui tutasafilisha au tutazika hapahapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna member Hana sikio humu Bw.Cherehani alifanya operation Sangara [emoji1787].
Kuleni ila mkidakwa mje mseme pia.
Hakika. Hawachungwi hata kidgoKama ni wakuliwa, ataliwa tu hata kama hujasafiri
Wewe ni Me au Ke? Halafu rekebisha maneno haya:
1. mbaka
2. bas
3. analudi
4. ndio hivo
5. Shughuri
6. asubuh
7. nilivoina
8.malanyingi
9. bhasi
10. wauni
11. ghafra
12. flow
13. ambae
14. Tutasafilisha
Wewe kariri tunaowa wake za watu. Yule aliyeondoa usichana wake ndiye mme halali. Mwanamke haeleweki, moyoni anaweza kuona wewe ni "bamia" ila kwa kuwa mmeshaoana anashindwa kukuambia, ndio sababu anafuata "tango" la uhakika nje. Kazoea kula tango na sio bamia.
Mkuu kuna uzi humu uliletwa sijui warembo kumi duniani ivi uliona?? Wale warembo hawafiki hata robo kwa hii kazi mama.e.... alafu mtu anakwambia ulaya pazuri, bongo siami hata iweje..... hata wala asali wabakishe makapi me sitoki hapa
"Wanajeshi ni kawaida awe me/ke kupigwa na kupigiwa nje ya ndoa ni kawaida amimi !!!amini!!!nakwambia"Habar wana jamii forums, natumaini wote niwazima mungu anaendelea kutupigania.
Jaman NASISITIZA na KUSISITIZA kama umeondoka nyumbani kwako na kusafiri kikazi na kumuacha mkeo bhas niamini mimi umewaachia wauni wengine wale na niamini unaesomaa hii mada kama upo mbali na mkeo jua analiwa. Ukubali ukatae we jua hivyo mbaka utakapo rudi tofauti na hapo fanya maamuzi magumu nitatoa mfano.
Nina ndugu yangu ambae ni kakaangu ambae ni mwanajeshi Commando kabsa now yupo njee ya nchi kidogo wana mission yao, wapo huko wiki moja iliopita.
Nilikuwa nae alirudi tuliongea mengi sana lakin kitu kimoja ambacho kilinishangaza aliamua kuachana na mkewake kabsa na kudeal na watoto wake tu bhas mbaka leo skujua Kwanini aliamua kuchukua maamuz yale ghafra bas mbaka leo anaishi na kuwalea watoto wake na hataki kuskia habar ya mke.
Sasa leo ndo nimejua kwanini braza ataki mke hapa ninapoishi nimechukua apartment sasa nina jirani yangu ambae anakaa flow ya chini huyu mwamba na yeye ni mwanajeshi ila nayeye yupo njee ya nchi kwa mission maalumu sasa hawa wakiendaga mission njee wanakaa mwaka wakirud atakaa wiki ndo likizo yake anasepa mbaka tena mwaka ndo maisha yao.
Sasa mwamba kaoa anamke na mkewake saiv ni mjamzito na mwamba kaondoka kitambo so kamuacha mkewake lakin huku hali ni ya hatar kuna jamaa ambae ni bodaboda ambae anambeba sana huyu dada kila siku sasa kuna kitu kinaendelea huyu boda nahsi anakula mzigo sababu huyu boda katika wiki lazima aje kwa huyu dada nashuhudia sana na akija anaingiza pikipiki ndani anaipaki then anazama ndani kwa manzi na kutoka ni baada ya masaa mengi kupita akiingia jion kutoka ni usiku unakuta saa 5 ndo anasepa na huwa namchora sana.
Na chakushangaza hawana undugu wowote na mke wa mjesh wala mjeshi mwenyew malanyingi namkutaga kijiweni na wenzake sasa hii hali ya kuja kwa huyu mke wa jirani yangu imezid nasio kawaida wanawake sio kabsa huyu boda anakula sana huyu dada sababu mmewake kaondoka kitambo njee.
Hataleo nimetoka asubuh kuna vitu nilikuwa naenda kuchukua nafika kwenye parking ya magar nakuta na yeye kapaki pikipiki yake nilivoina tu pikipiki nikajua eheeh kumekucha huko na ukizingatia leo asuh kimvua kilikuwa kinapiga nikachukua gari nikaondoka narud mida ya saa 5 asubuh bado nakuta boda ipo parking na nilitoka saa 12 asubuh niksema kweli shughur sio ndogo kwasababu huyu dada mmewake Kamuachia kilakitu mbaka gari mbili zipo kaziacha zimepark lakin dada kamganda bodaboda.
Jamani hawaviumbe wa kike nishida lakini ndio hivo ni kuishinao kwa akili sana ila ndoivo ngoja tuone mwisho wake utakuaje ila namuombea mungu boda asidakwe maana heeh sjui tutasafilisha au tutazika hapahapa.
Muache huyu Ni mtt anakua bado. Ama inaonekana pia anawatamani so anaumia wao kuliwa.Ukiwa nae hujasafiri ndio haliwi?
Unatumia mifano ya hao kaka zako wanaokaa nje mwaka kuhalalisha mawazo yako mgando dogo?
Kuliwa ni hulka ya mtu tu, anaweza kuliwa uliye nae chumba kimoja kutwa.