EnheeKumbe
lakini Mkuu Mshana si kuna ile dawa ya kuifunga au?Sasa uache kitu kama hii home miezi pekeyake... Unategemea nini? Shetani akulindie!?View attachment 2474890
Mjini mbali upo ndani analiwa kwa jirani.Watu wanaliwa na mume yupo mjini...
Ukileta akili kwenye ndoa huwezi oaKama ukiona akili yako haijakomaa usioe.
Unacheka..😋😛
Muache huyu Ni mtt anakua bado. Ama inaonekana pia anawatamani so anaumia wao kuliwa.
Hajiulizi Kama Kaka zake huwa hawali huko nje wakisafiri.
Mke anaweza toka akaenda sokoni akaliwa anarudi na mboga mnapika mnakula anaoga anakuja unamkula nayeye.
Pia namuona bado hawezi beba negative sides za ndoa kwani yeye Ana uhakika gani baba take hakujua mama yao anatoka sema akakaza roho mpaka Leo wako na strong family.
Sikia Kama unadhania mkeo hatagongwa nje na unaogopa kuoa kisa icho tu Basi nashauri usioe. Mbona hizi mambo tokeo from our ancestors during caveman era that lived billions of years ago yalikuwepo so ndio unakuja kuyashangaa sahivi.
Narudia kusema wewe bado Ni mtt na u kijana bado around 20s so unawaza dunia ya kivyakovyako Ile ideal. Hakuna dunia ideal hata mie sijui maza alichepuka how many times akiwa huko shambani mkuu analima anasenya kuni.
Mbona unataka kuifanya dunia iwe perfect nothing is quite black/white or 0%/100%. Remove white and black thinking live in between or accept otherwise utateseka maisha yako yote.
Dada zako tu kwani hawatongozwi hapo kabla hawajaolewa ama wakiwa wameolewa.
Mpunguzeni maada za kitoto life isn't all about pussssy
Amen.Doh
Kwahiyo mimi ndo mtoto na nyie wa akili hizi ndo wakubwa
Mungu akurehemu tu mdogo wangu
Ukweli ni kwamba uvumilivu wa mwanamke ni mdogo sana kulinganisha na mwanaume. Ila kula mke wa mtu sio vizuri kabisa, wanawake wako wengi sana kwanini ujihatarishe namna hiyo.
Ni vyema unapotambua jimama unalofukuzia limeolewa temana nalo.
Sijui kwann unazidi kuni quote kwa kunihusisha na mtoa uzi. Sijui kabisa yaani.Amen.
Huwezi andika eti niaminini mimi kama uko mbali na mkeo lazima unachapiwa. Unadhani wanawake wote ni mabox? Ukioa kahaba utavuna ukahaba, unadhani hayo mambo yanaanza ghafla tu? Asante kwa stori, nadhani uko Chalinze.
Last line💯❣Muache huyu Ni mtt anakua bado. Ama inaonekana pia anawatamani so anaumia wao kuliwa.
Hajiulizi Kama Kaka zake huwa hawali huko nje wakisafiri.
Mke anaweza toka akaenda sokoni akaliwa anarudi na mboga mnapika mnakula anaoga anakuja unamkula nayeye.
Pia namuona bado hawezi beba negative sides za ndoa kwani yeye Ana uhakika gani baba take hakujua mama yao anatoka sema akakaza roho mpaka Leo wako na strong family.
Sikia Kama unadhania mkeo hatagongwa nje na unaogopa kuoa kisa icho tu Basi nashauri usioe. Mbona hizi mambo tokeo from our ancestors during caveman era that lived billions of years ago yalikuwepo so ndio unakuja kuyashangaa sahivi.
Narudia kusema wewe bado Ni mtt na u kijana bado around 20s so unawaza dunia ya kivyakovyako Ile ideal. Hakuna dunia ideal hata mie sijui maza alichepuka how many times akiwa huko shambani mkuu analima anasenya kuni.
Mbona unataka kuifanya dunia iwe perfect nothing is quite black/white or 0%/100%. Remove white and black thinking live in between or accept otherwise utateseka maisha yako yote.
Dada zako tu kwani hawatongozwi hapo kabla hawajaolewa ama wakiwa wameolewa.
Mpunguzeni maada za kitoto life isn't all about pussssy
So last line ndio imeku tachi Mrs wa lisu jamani. Mmeo hajarudi nchini bado yupo uhamishoniLast line💯❣
Wanafanyia wapi?Askari magereza wanawapelekea [emoji91] sn wafungwa wa kike haswa zile pisi Kali[emoji39]