Nimeona watu wakilaumu wakituna na wengine kudhihaki kwamba serikali haijawa serious huhusu Corona. Sisi tunaojua maana ya outbreak tunajua kwamba kwanzia mwezi wa 7 mpaka 12 hakuwa na Visa vya Corona. Wengine sisi ni watoa huduma za afya ni mashahidi kabisa kwamba Corona iliisha.
Mungu wetu mwenye huruma alituponya si kwa matendo yetu mema. Kosa letu hatukuendelea kumuomba Mungu atuponye na Corona phase 2.
Ikumbukwe kuwa kuna corona phase 1, phase 2 na phase 3. Hivyo hatuna budi kuendelea kumuomba Mungu atuponye phase 2 pia atulinde na phase 3 na tukiendelea kuchukua tahadhari pindi milipuko ikitokea.
Kumtukana Rais au kumlaumu hakusaidi kitu bala ni kuzoa dhambi bila sababu.Mkuu wa dini unapomdhihaki kiongozi wa nchi Mungu hawezi kuwa upande wako hata siku moja tena ukichukulia kuwa Rais wetu aliegemea upande wa Mungu.
Sasa sioni sababu ya kumlaumu Rais. Padri mzima unaposema eti Mungu siyo hirizi ,huo ni uchizi. Unataka kusema kuwa pale madhabahuni unasimama ukiwa umevaa hirizi .
Mungu wetu mwenye huruma alituponya si kwa matendo yetu mema. Kosa letu hatukuendelea kumuomba Mungu atuponye na Corona phase 2.
Ikumbukwe kuwa kuna corona phase 1, phase 2 na phase 3. Hivyo hatuna budi kuendelea kumuomba Mungu atuponye phase 2 pia atulinde na phase 3 na tukiendelea kuchukua tahadhari pindi milipuko ikitokea.
Kumtukana Rais au kumlaumu hakusaidi kitu bala ni kuzoa dhambi bila sababu.Mkuu wa dini unapomdhihaki kiongozi wa nchi Mungu hawezi kuwa upande wako hata siku moja tena ukichukulia kuwa Rais wetu aliegemea upande wa Mungu.
Sasa sioni sababu ya kumlaumu Rais. Padri mzima unaposema eti Mungu siyo hirizi ,huo ni uchizi. Unataka kusema kuwa pale madhabahuni unasimama ukiwa umevaa hirizi .