mashaka saidi beneu mboyo
Member
- Jun 2, 2019
- 25
- 21
Hizi ngebe Mayele atatujibia badala yetu.Kushabikia #utopolo ni dhambi na wanaoshabikia lunyasi wazee wa tz na africa na wana julikana kote duniani kwamba muwakilishi wa tanzania inajulikana simba pekee na hakuna kidume zaidi yao ukishabikia simba umebarikiwa hauna dhambi na tuna mzungu saivi hatari
#mashakasaidibeneumboyo
Mayele huyoo..!!Kushabikia #utopolo ni dhambi na wanaoshabikia lunyasi wazee wa tz na africa na wana julikana kote duniani kwamba muwakilishi wa tanzania inajulikana simba pekee na hakuna kidume zaidi yao ukishabikia simba umebarikiwa hauna dhambi na tuna mzungu saivi hatari
#mashakasaidibeneumboyo
Ingekuwa kuwa shabiki wa simba ni heshima, msingekuwa ni watu mnao ongoza kutukana tukana hovyo humu jukwaani.Kuwa shabiki wa Simba ni heshima
Hizi ngebe Mayele atatujibia badala yetu.
Mwezi wa 5 mwakani msije mkabaki na matola pekee yake.
Sisi tunajua kuwa wanayanga wote ni wajinga ispokuwa Sunday Manara na Mzee JK. Ndiyo maana mnaongoza kwa nyuzi za kipumbavu humu.Hivi nyinyi ni ndege aina ya kasuku!! Au ni binadamu kama sisi!! Kwa nini kila anachokisema msemaji wenu wa zamani na mwanachama mwenzenu wa simba, na mropokaji mwenye mdomo mchafu duniani Haji Manara, lazima mkivalie bango!
Yaani kila ujinga anao uongea, kwenu hugeuka na kuwa wimbo wa Taifa! Hivi huwa hamuoni kama mnajishushia hadhi! Si bora hata yale maneno ya Ismail Aden Rage, walau unaweza kusema yana mashiko!
Kwa hiyo nyinyi ni Misukule ya Haji Manara! Maana kila ujinga anao kuja nao, nyinyi mnaugeuza kuwa wimbo! Aisee poleni sana.Sisi tunajua kuwa wanayanga wote ni wajinga ispokuwa Sunday Manara na Mzee JK. Ndiyo maana mnaongoza kwa nyuzi za kipumbavu humu.
Sawa tusubiri tuone[emoji16]Nae anafika mwisho, akifunga na Simba inafunga, haitaki mchezo safari hii.
SIMBA WA YUDA au SIMBA S.C?Kushabikia #utopolo ni dhambi na wanaoshabikia lunyasi wazee wa Tanzania na Africa na wana julikana kote duniani kwamba muwakilishi wa Tanzania inajulikana simba pekee na hakuna kidume zaidi yao ukishabikia simba umebarikiwa hauna dhambi na tuna mzungu saivi hatari
#mashakasaidibeneumboyo
Nyie ndiyo wajinga baada ya kuwatukana bado mnamkubali hadi mlitishia kuandamana kwenda Ikulu kumuona Rais ili zeruzeru afunguliwe. Jipigeni kifuani mkipaza sauti mkisema :Sisi ni hamnazo'.Kwa hiyo nyinyi ni Misukule ya Haji Manara! Maana kila ujinga anao kuja nao, nyinyi mnaugeuza kuwa wimbo! Aisee poleni sana.
Bila shaka ni yeye pia aliye wafundisha kutukana hovyo humu jukwaani.