[emoji3][emoji3][emoji3]mimi huwa nawaza kuroga tuuUkiwa umeshalewa unapenda starehe au ukishalewa nini huwa unafanya?
Mimi nikishalewa huna nacheka hovyo tu nakupiga piga simu na kugawa hela hovyo
Kingine ninachopendaga nikishalewa huwa nafurahia lile tendo takatifu mimi na baby mama wangu taratibu bila fujo
Hahaha noma sana[emoji3][emoji3][emoji3]mimi huwa nawaza kuroga tuu
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Nitakutafuta unifunze ulozi hii idara naipenda tu sema sina kipaji[emoji3][emoji3][emoji3]mimi huwa nawaza kuroga tuu
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app