Ukishapata tatizo, kila utakaempigia hapokei simu kama vile wameambizana wasikupokelee

Ukishapata tatizo, kila utakaempigia hapokei simu kama vile wameambizana wasikupokelee

iamriq_arthur

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2021
Posts
440
Reaction score
1,086
Kuna hii situation baada ya kukosa kazi kila unaempigia simu kwaajiri ya msaada anakua hapokei simu kama vile wote wameambizana kutokukupokelea simu.

Roho yangu ndo imeweza kufunguka na nimeweza kuwajua binadamu jinsi walivo wabaya wa roho na nafsi.

Mpaka wadeni wangu nikiwapigia wananisubirisha [emoji17]

Natamani ningekua mchawi niwaloge wote [emoji856]
 
Binadamu wanakuthamini ukiwa nacho na ukiwa maiti.

Mgonjwa akiomba mchango wa dawa kila mtu hana ila akifa kila mtu anachangia vyakula na gharama za kufanya msiba uwe wa thamani.

Binadamu tumeumbwa na unafiki pamoja na upendo wa maigizo.
 
Binadamu wanakuthamini ukiwa nacho na ukiwa maiti.

Mgonjwa akiomba mchango wa dawa kila mtu hana ila akifa kila mtu anachangia vyakula na gharama za kufanya msiba uwe wa thamani.

Binadamu tumeumbwa na unafiki pamoja na upendo wa maigizo.

Kwel kabisa, hili ndo nimeligundua sasa [emoji2357]
 
Kuna hii situation baada ya kukosa kazi kila unaempigia simu kwaajiri ya msaada anakua hapokei simu kama vile wote wameambizana kutokukupokelea simu.

Roho yangu ndo imeweza kufunguka na nimeweza kuwajua binadamu jinsi walivo wabaya wa roho na nafsi.

Mpaka wadeni wangu nikiwapigia wananisubirisha [emoji17]

Natamani ningekua mchawi niwaloge wote [emoji856]
Matatizo ni darasa tosha,
 
Binadamu wanakuthamini ukiwa nacho na ukiwa maiti.

Mgonjwa akiomba mchango wa dawa kila mtu hana ila akifa kila mtu anachangia vyakula na gharama za kufanya msiba uwe wa thamani.

Binadamu tumeumbwa na unafiki pamoja na upendo wa maigizo.
Hii nimeiona sana,kuna demu moja anajifanya anasali sana na anaonekana kusaidia watu kumbe maonesho ,nyuma ya pazia ni mnaa kinyama
 
Back
Top Bottom