johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wako viongozi wa vyama vya siasa wanawadanganya wafuasi wao wabakie vituoni kulinda Kura
Nadhani ni Mjinga peke yake atakayebaki kituoni ilhali yeye si wakala wa mgombea
Ni angalizo tu
Ahsanteni sana 😀🐼🔥
Nadhani ni Mjinga peke yake atakayebaki kituoni ilhali yeye si wakala wa mgombea
Ni angalizo tu
Ahsanteni sana 😀🐼🔥