Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nimekuwa mhanga kwenye hayo mazingira, baada ya kufanya 'wiring' na umeme kuungwa kwenye jengo, ili ujenzi wa kumalizia (finishing) uende vizuri; wakatokea wahuni wakakata nondo za dirisha na kuingia ndani na kuanza kufumua nyaya zote, pamoja na vifaa vyote vya umeme vilivyokuwepo.
Ile vijana wangu wanaenda kukagua, ndio wakakutana na huo uaribifu. Kwa ujumla wamenipa hasara, lakini ndio hivyo inabidi kukubali matokeo.
Kwa ushauri tu, kama umefikia hatua hiyo, tafuta mtu akulindie, vinginevyo wahuni wanaweza kukutembelea wakakuachia mabomba tu.
Ile vijana wangu wanaenda kukagua, ndio wakakutana na huo uaribifu. Kwa ujumla wamenipa hasara, lakini ndio hivyo inabidi kukubali matokeo.
Kwa ushauri tu, kama umefikia hatua hiyo, tafuta mtu akulindie, vinginevyo wahuni wanaweza kukutembelea wakakuachia mabomba tu.