Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
Harakati ni ngumu ila sio kama wanavyotia chumvi wakata tamaa.
Kuna mtu ukimpa sikio lako utaona mambo ni magumu sana maana kila kitu atakueleza kwa namna isiyowezekana.
Wasikilize kwa akili kubwa sana wakata tamaa kwa sababu hawamini tena kwenye uwezekano bali ugumu kwenye kila jambo.
#Instagram @fikia ndoto zako.
Kuna mtu ukimpa sikio lako utaona mambo ni magumu sana maana kila kitu atakueleza kwa namna isiyowezekana.
Wasikilize kwa akili kubwa sana wakata tamaa kwa sababu hawamini tena kwenye uwezekano bali ugumu kwenye kila jambo.
#Instagram @fikia ndoto zako.