Ukisikia jina la beki Kelvin Yondan unakumbuka wapi?

Ukisikia jina la beki Kelvin Yondan unakumbuka wapi?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
haya leo tumkumbuke legend mwenyewe Kelvin Yondan Engineer Cotton Juice Pamba. Unamkumbuka Yondan kwa lipi?
 
Mvutaji bangi kabla na baada ya mechi.


Lakini sijawahi kumuona
 
Mie namkumbuka kwenye Fainali ya Afrika Mashariki na Kati mwaka 2013 kama sikosei. Inapigwa Krosi dakika ya 116 badala ya kuruka anainama then Fowadi wa Yanga anafunga goli. Nilim mind sanaaa
 


Pitia hiyo link angalia Yondani anainama then Kenneth Asamoah anafunga goli

Ilikuwa 2011
 
Back
Top Bottom