Ukisikia paaaaaaa moyo umezima ujue NECTA wamefichua matokeo ya kidato cha 4.

Joined
Jan 9, 2013
Posts
46
Reaction score
3
Ukisikia mtu anahema kwa kutwita kama yupo mpirani,na ana woga kama kuku anaetaka kuchinjwa ujue NECTA wame fichua siri ya matokeo.ivi karibuni tu watu watazimia,wengine watafurahia,wengine uzuni kiasi kutokana na matokeo.Usishangae kidato cha nne ni kikwazo kikubwa cha ukatishi wa ndoto za wanafunzi,ususani kidato cha nne.
Mtihani hauna mjanja,uenda ukafauru ama kutofauru.
Tafakari kwa sasa matokeo yako ama matokeo ya rafiki,ndugu yatakuwaje...?
 

vilaza peke yake ndiyo huwa hawajui walichokifanya
 
Elimu ya kipind hiki! Sifa ya kwanza ya mwalimu nilazima apate dv 4, akipata one hawezi kubali asomee ualimu. Hii nikazi kwelikweli
 
​jukwaa limeanza kupamba moto
 
matokeo yananipa wasiwasi sijui nitafaulu du yaan ww acha necta wafanye haraka yaan huku hoi ile mbaya mno
 
Haraka ya nini wakati form 5 hadi July? Yatatoka after Easter
 
Yako wapi au unayaona wewe tu kwa sababu umevaa miwani ya mbao.
 
jaman baraza mna2chosha mtatoa ln matokeo ya kidato cha nne 2012?
 
nawatakia mthan mwema kidato cha 6 njombe boyz high school, PCM wote mtachana
 
Unaharaka gan?.cku zote wenye kihelehele huwa wanapata "the earth as a sphere"
 
enzi zangu nilikuwa nikimaliza mtihani natenga dk 10 za kuhesabu max hivyo nikitoka kwenye mtihani nilikuwa najua nimepata max ngapi.margin of error ilikuwa +/- 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…