Hapo ni kuomba Mungu na mbioNdio unakumbana na kitu cha namna hii hebu jiweke wewe kwenye nafasi ya huyo jamaa hapo........!
Au unauzunguka mti , likipitiliza unarudi ulikotoka au unakwea mti mwingineDude likikuzidi mbio unaangalia mti ulioko karibu unarukia. Lazima litoe macho!
Hayo madude hayana mbio, labda kama huwezi kutimua hata kidogo