Wee si umetoa kuonyesha unazo na matumizi ya kuzitumia huna... Soo ndio unatajiwa matumizi. Alafu achaa kelelee mwanamke ni pesa na matunzoo hata mkeo nyumbani bila matunzo na pesa atakudharau na kukunyima dudu piaa tena na kuambiwa embu niachee ukooo nivue chupi unajua gharama yake. Tumia pesa ikujengee heshimaaa. HASARA ROHO, PESA MAKARATASIJamani huu wizi 'live', nimekaa nae muda mrefu
tumekunywa sana, sasa nataka kulipa bili, nimetoa
bulungutu la noti nachagua zile zilizochoka choka
ndio nilipie, naona mkono uko shingoni, na kwa sauti
ya kumtoa nyoka shimoni;MDADA: Swiry, darling
baby unajua leo kumbe birthday yangu
Umemaanisha nini???Wee si umetoa kuonyesha unazo na matumizi ya kuzitumia huna... Soo ndio unatajiwa matumizi. Alafu achaa kelelee mwanamke ni pesa na matunzoo hata mkeo nyumbani bila matunzo na pesa atakudharau na kukunyima dudu piaa tena na kuambiwa embu niachee ukooo nivue chupi unajua gharama yake. Tumia pesa ikujengee heshimaaa. HASARA ROHO, PESA MAKARATASI
Mkuu kwa siku unatupia thread ngapi .
Maana.una kasi kubwa sana