Hangaya bhanaπ.. eti wasaidizi wananambia mheshimiwa umeteua wote wa tanga π. Jibu: '..sifuati kabila mimi nafuata uwezo tu...wakikosea nawatumbua'. Lakini si ndio ushateua?ππ.. Halafu wenye uwezo situnawaona?.. ukituteuliwa mabomu ya kale tunyamaze tu? ππ
Mastermind wa ufisadi wakisimamia maslahi ya mabeberu yanarudi ulingoni......ngoja tuone awamu hii mbali na IPTL, dowans, symbion, escrow tutaletewa jini gani jingine la kutunyonya damu.
Kuna Jamaa kwenye story of change ameandika kiti kizito
Bi. Hangaya na mafisadi wake 2025 lazima washughulikiwe vyovyote iwavyo.
Makamba ni mwenyekiti wa kamati ya udhalimu kumuachia Mungu ni laana ya kujitakia