haiwezi kuwa coincidence sababu wawili hawa walikuwa wanafuatiliana sana.....haswa huyu harmonize alikuwa kama anaforce sana bifu ikiwemo na kumtaja hamonize karibu katika kila wimbo. nina uhakika hamonize ameusikiliza sana wimbo wa nundu. sio coincidence kabisa!Je kama ni coincidence ?
Mfano
Damond na voice wonder waliimba nimpende nani ki tofauti
Ni wivu tu huo.kitambo kidogo mwanamuziki wa kizazi kipya, harmorapa, ambaye sasa hajulikani yuko wapi, alikuja na kibao chake matata kilichoenda kwa jina la 'nundu'. alisifia manundu mbalimbali humo kutoka sehemu mbalimbali za afrika.
ukisikiliza kibao kipya cha hamonize cha 'uno', kiukweli kwa mtazamo mkali wa kisanii ni kama uendelezo wa wazo lile la harmorapa.....kimesifia mauno ya watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti za afrika.
gonga like hapo kama nawe umeliona hilo!