Ukisoma stashada(diploma)ya ujuzi mwingine unaweza kusoma shahada ya education?

mwilongo Aron

Senior Member
Joined
Oct 15, 2014
Posts
109
Reaction score
54
Habari wakuu,

Mfano aliyesomea stashahada ya uhasibu, uchumi au sheria, anaweza kuja kusoma ualimu ngazi ya shahada?
 
Habari wakuu,

Mfano aliyesomea stashahada ya uhasibu, uchumi au sheria, anaweza kuja kusoma ualimu ngazi ya shahada?

Yaah unakuja kusoma kitu kinaitwa post graduate in Education PGDE na unaajiliwa kama mwalimu tuu wala hakuna tatizo
 
Bwana Tumbu hujamuelewa mkuu alichouliza, mkuu anataka kujua kama inawezekana mtu mwenye stashahada ya taaluma nyingine nje ya education kusoma shahada ya education kwa Upande wa PGDE huruhusiwi kusoma kama hauna shahada ya kwanza.
 
Kwa ninavyojua mimi taaluma ya education inamisingi yake, mara nyingi wengi wanaochukua shahada ya elimu wanatoka moja kwa moja form 6 au wana Stashahada ya elimu, ata kwa mtu anaetaka soma MA ya ed ni lazima awe na Shahada ya ed, tofaut ya taaluma nyingn
 
Kwa ninavyojua mimi taaluma ya education inamisingi yake, mara nyingi wengi wanaochukua shahada ya elimu wanatoka moja kwa moja form 6 au wana Stashahada ya elimu, ata kwa mtu anaetaka soma MA ya ed ni lazima awe na Shahada ya ed, sio kama taaluma zingine
 
ni kweli PGE ni lazima uwe na shahada moja
 
ni kweli PGE ni lazima uwe na shahada moja
Nilazima uwe na shahada ya kwanza ndio unaruhusiwa kusoma Postgraduate, kwa kukurahisishia chukua dictionary angalia maana ya neno Postgraduate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…