Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
lazima kutakuwa na proper name for them....
but definetely sio MEN.....
Maana yake ni kwamba wapo wanawake wanunuzi pia. Ni vyema uwakanye pia wanawake wasiwanunue kama wataweza (kama wanawake wanawataka pia).
lazima kutakuwa na proper name for them....
but definetely sio MEN.....
Mpenzi acha ubishi ni MEN tu hao
Wamesikia..ila ujue hizi tabia siyo za kiume! Mwanaume rijali hujiweza...hatakiwi kushinda saloon kutwa kukata nywele, kufanya scrub/facial na kuvaa tu.Lazima afanye kazi. Ingekuwa "kaka poa" ingeeleweka!
Hatutaki kupoteza "wanaume" kwa kuendekeza uvivu tu loh!SHAME!
kweli kaka,
they can't be men.....may be boys and above all, stray boys!!
Umeuona huu msemo???
A boy dreams but, ....a man does!!!!
Kweli kaka,
They can't be MEN.....May be boys and above all, stray boys!!
Umeuona huu msemo???
A BOY DREAMS BUT, ....A MAN DOES!!!!
kaka dc, nami ndio ninasikitika eti.... Good men put to waste shauri ya uvivu!kama wanavyofanya good ladies hahaha...kukata tamaa gani huku?
Mpenzi acha ubishi ni MEN tu hao
Tausi, JS na wengine wote,
Naomba mnisikilize vizuri....Hao siyo wanaume???
Mnataka niwaelezeje lakini???
Kimekutokea nini Tausi?