Sasa ukinipuuza wewe utanipunguzia au utaniongezea nini kapuku wewe?kweli wewe ni wa kupuuzwa kama mpuuzi...
Haina fedha kwa maana hawapati tena fedha za Mose katumbi kama walivyokuwa wakizipata awali!Haina Ela ukiifananisha na Timu gani, naomba utuwekee hapa makusanyo yote ya mlangoni, televisheni na mgao wa CAF hapa tuamini usemayo
hakika wewe ni wa kupuuzwa maana ni mpuuzi.Sasa ukinipuuza wewe utanipunguzia au utaniongezea nini kapuku wewe?
unaweza kutaja kikosi cha TP Mazembe walioshiriki Kagame cup pale Rwanda??? au unakurupuka tu...Haina fedha kwa maana hawapati tena fedha za Mose katumbi kama walivyokuwa wakizipata awali!
Mose katumbi anaishi ufaransa hakai tena DRC yani yupo mguu ndani mguu nje kwenye kuifadhili Tupuise mazembe, timu kubwa kama Mazembe haitegemei mapato ya milangoni kama vilabu vya Bongo leo imefedheheshwa na Azam fc
Yani kikosi kilichecheza na Azam kimekosa wachezaji wa first 11 ya Tp mazembe sio zaidi ya watano!unaweza kutaja kikosi cha TP Mazembe walioshiriki Kagame cup pale Rwanda??? au unakurupuka tu...
Fala wewe kampuuze bibi yakohakika wewe ni wa kupuuzwa maana ni mpuuzi.
hahaha....Fala wewe kampuuze bibi yako
acha uongo.....UNAJUA HAPA NAFIKIRIA NINI??Yani kikosi kilichecheza na Azam kimekosa wachezaji wa first 11 ya Tp mazembe sio zaidi ya watano!
Na wengi wamekwishasajiliwa kwingine, mimi mpira naujua kuliko unavyofikiria
Kukazwaacha uongo.....UNAJUA HAPA NAFIKIRIA NINI??
Yani ukitaka kubishana na mimi kuhusu michezo hasa soccer, american football, rugby na tennis utakwama buda!acha uongo.....UNAJUA HAPA NAFIKIRIA NINI??
ok... poa.Yani ukitaka kubishana na mimi kuhusu michezo hasa soccer, american football, rugby na tennis utakwama buda!
Kalaba, Muleka, Kouame, Sinkala, Zola....wote walikuwepo hawa ni wachezaji wa kikosi cha kwanza wengine walikuwa timu ya taifa na wamepewa mapumziko
Haina fedha kwa maana hawapati tena fedha za Mose katumbi kama walivyokuwa wakizipata awali!
Mose katumbi anaishi ufaransa hakai tena DRC yani yupo mguu ndani mguu nje kwenye kuifadhili Tupuise mazembe, timu kubwa kama Mazembe haitegemei mapato ya milangoni kama vilabu vya Bongo leo imefedheheshwa na Azam fc
Katumbi amerudi LubumbashiHaina fedha kwa maana hawapati tena fedha za Mose katumbi kama walivyokuwa wakizipata awali!
Mose katumbi anaishi ufaransa hakai tena DRC yani yupo mguu ndani mguu nje kwenye kuifadhili Tupuise mazembe, timu kubwa kama Mazembe haitegemei mapato ya milangoni kama vilabu vya Bongo leo imefedheheshwa na Azam fc
Nimesema Mose haishi Congo kama makazi yake kama alivyokuwa akifanya wakati wa Kabila kabla hajatibuana nae!Moise kasharudi Congo, Mazembe hawajashuka sema kile kikosi chako matata kimepita kwa umri, sasa hivi wanatengeneza timu upya, juzi tu wamemuuza Elia kwenda ulaya
Lakini sio makazi yake yuko mguu ndani mguu nje na hapa tunazungumzia kurudi kwake kwa miguu miwili mazembe tupuiseKatumbi amerudi Lubumbashi
Unataka kutuaminisha kwamba Moise Katumbi amefilisika?? Au amegoma kutoa pesa kwa ajili ya udhamini? Umeandika mtizamo wako au unao uhakika kutoka chanzo cha kuaminika? Je unamfahamu Mmiliki wa TP Mazembe? Unafahamu kwamba TP Mazembe ni timu inayomilikiwa na Binadamu mmoja Mwenye migodi kama yote kule Wantashi na Investiment za kutosha kule Ubelgiji na Ufaransa?Na anaupenda mpira wa miguu kutoka moyoni?Unafahamu kwamba waziri wa michezo wa Congo ni kocha wa Makipa wa TP Mazembe?Haina fedha kwa maana hawapati tena fedha za Mose katumbi kama walivyokuwa wakizipata awali!
Mose katumbi anaishi ufaransa hakai tena DRC yani yupo mguu ndani mguu nje kwenye kuifadhili Tupuise mazembe, timu kubwa kama Mazembe haitegemei mapato ya milangoni kama vilabu vya Bongo leo imefedheheshwa na Azam fc
Hajafilisika ila ana tatizo na serikali ya Congo hayuko salama kabisa hivyo uwekezaji wake mwingi anaupa nguvu nje ya nchi kuliko ilivyokuwa ndaniUnataka kutuaminisha kwamba Moise Katumbi amefilisika??
Hatoi fedha za kununua wachezaji ghali tenaAu amegoma kutoa pesa kwa ajili ya udhamini?
Ndivyo ilivyoUmeandika mtizamo wako au unao uhakika kutoka chanzo cha kuaminika?
Moise katumbiJe unamfahamu Mmiliki wa TP Mazembe?
Kumiliki migodi au kutokumiliki si hoja, hoja ni hatoi fedha za kununua wachezaji ghali ambao atawalipa mishahara ghali ili klabu ifanye vizuriUnafahamu kwamba TP Mazembe ni timu inayomilikiwa na Binadamu mmoja Mwenye migodi kama yote kule Wantashi na Investiment za kutosha kule Ubelgiji na Ufaransa?
Hili swali anaweza kulijibu yeye binafsi nachofahamu ni mfanyabiashara na pale anasaka pesaNa anaupenda mpira wa miguu kutoka moyoni?
Anaitwa Robert kidiaba mbunge wa katanga na ukicha wake ulikoma pindi tu alipoteuliwa kuwa waziri wa michezo na Rais Felix TshisekediUnafahamu kwamba waziri wa michezo wa Congo ni kocha wa Makipa wa TP Mazembe?
Umejibu vizuri sana....Nimekugongea like[emoji41]Hajafilisika ila ana tatizo na serikali ya Congo hayuko salama kabisa hivyo uwekezaji wake mwingi anaupa nguvu nje ya nchi kuliko ilivyokuwa ndani
Hatoi fedha za kununua wachezaji ghali tena
Ndivyo ilivyo
Moise katumbi
Kumiliki migodi au kutokumiliki si hoja, hoja ni hatoi fedha za kununua wachezaji ghali ambao atawalipa mishahara ghali ili klabu ifanye vizuri
Hili swali anaweza kulijibu yeye binafsi nachofahamu ni mfanyabiashara na pale anasaka pesa
Anaitwa Robert kidiaba mbunge wa katanga na ukicha wake ulikoma pindi tu alipoteuliwa kuwa waziri wa michezo na Rais Felix Tshisekedi