Ukistaajabu ya musa

Fruit

Senior Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
193
Reaction score
54
[

Akina mama walikokuwa katika sherehe hiyo wakitahamaki baada ya kachero wa polisi kujitambulisha

….Binti huyo (kushoto) akiwa chini ya ulinzi wa polisi akitolewa ndani na kuingizwa kwenye gari




Hakuna lugha nyepesi unayoweza kuzungumza zaidi ya kusema haya ni maajabu ya mwaka 2013, kwani familia ya Masoud Kassim wa Karakata. Ukonga Dar imejikuta ikiingia kwenye mgogoro wa kisheria baada ya kuamua kumfanyia ‘kitchen party' mtoto wao wa miaka 13 aitwaye Rafia Masoud, tayari kwa ndoa.

Tukio hilo la kusikitisha na kuhuzunisha limetokea Jumatano ya wiki iliyopita ambapo mtandao huu ulikuta Rafia akiwa katika sherehe hizo huku ndoa yake ikitarajiwa kufungwa leo Februari 2.
 

Attachments

  • 1001.JPG
    61.4 KB · Views: 61
Hawa polisi wetu nao wanakuwa kama wajinga. Kama walishaweza kufikia hatua ya kufahamu hiyo kitchen party, kwa nini wasingeendelea na kufuatilia ili waje wamkamate pamoja na bwana harusi siku ya kufunga ndoa?
 
Kweli hawa Polish hawana kazi....
 
jamani miaka 13 ni mdogo,kwa masuala ya ndoa.hao wazazi washitakiwe
 
Kazi kweli

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Sasa polisi nao kama haziwatoshi. Wakukamata ni mtoto ama wazazi?
Halafu eti anaenda kuwa mke wa pili. Kuna dini nyingine ni maangamizi ya kanuni za maumbile.
.
 
[h=3][/h]







Binti huyo (kushoto) akiwa chini ya ulinzi wa polisi akitolewa ndani na kuingizwa kwenye gari




Akina mama walikokuwa katika sherehe hiyo wakitahamaki baada ya kachero wa polisi kujitambulisha




Akiingizwa kwenye gari ambapo alipelekwa Kituo cha Polisi, Stakishari kwa mahojiano zaidi.


Hakuna lugha nyepesi unayoweza kuzungumza zaidi ya kusema haya ni maajabu ya mwaka 2013, kwani familia ya Masoud Kassim wa Karakata. Ukonga Dar imejikuta ikiingia kwenye mgogoro wa kisheria baada ya kuamua kumfanyia ‘kitchen party’ mtoto wao wa miaka 13 aitwaye Rafia Masoud, tayari kwa ndoa.


Tukio hilo la kusikitisha na kuhuzunisha limetokea Jumatano ya wiki iliyopita ambapo mtandao huu ulikuta Rafia akiwa katika sherehe hizo huku ndoa yake ikitarajiwa kufungwa leo Februari 2.

Habari picha na Haruni Sanchawa wa GPL

 
Sasa wakipewa NECTA yao watahiniwa watatoka wapi kama ndio hivi:confused2::confused2:
 
yaaani wanafanya hayo kwa under 18, hawana huruma kabisa kwa huyo girl
 
reka dutigite wishavu lihere
 
yaani hiyo mijimama mijitu mizima imeenda kushi riki huuu upuuzi? Wa kutaka kumharibia Mtoto wa miaka 13 maisha? Umri huo mtoto anapaswa awaze homework wao bila aibu wanataka kumkuza mtoto.....

Na wazazi wa huyo mtoto walimzaa kweli?

Na hilo janaume linalotaka kumuoa lina akili kweli? Au akili yake ipo chini ndo maana halina haya ya kutaka kubaka mtoto?

Inaudhi sana
 

IKIKOMAA YALIWA...Kwa wenzetu mtoto wa kike akivunja ungo basi akijitokeza muoaji haina shida; ndoa kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…