Mh. Mahiza, CD muweke wenyewe, 'Eject button' muiondoe halafu muwaambie waandishi wa habari wabadilishe CD. wanachofanya waandishi ni kucheza muziki wanousikia toka kwenye CD mlioicheza. mngekuwa wasafi hata kucheza wasingecheza - mmelikoroga lazima mlinywe!