Ukistasjabu ya Musa utayaona ya firauni tobailai Mtoto wa miaka 17 wa kiume bado ana nyonya kwa Mama yake mzazi

Kik tu hiyo watu wanatafuta umaarufu kwa nguvu. Ww unaamini kwamba hoyo jamaa ananyonya kweli? Kama sio Kik basi video creator wamewalipa hao Ili kutengeneza content wauze YouTube.
 
Kik tu hiyo watu wanatafuta umaarufu kwa nguvu. Ww unaamini kwamba hoyo jamaa ananyonya kweli? Kama sio Kik basi video creator wamewalipa hao Ili kutengeneza content wauze YouTube.
uko sahihi, huyo ni Malaya kalipwa ili kutengeza content
 
Eti napenda kuwa daktari....πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™„ ila tusipinge sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…