Ukitahiriwa umri wa miaka 18, inachukua muda gani kupona?

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Wadau habari za asubuhi,

Natumai mu wazima wa afya tele kabisa,

Swali langu ni kwamba kwa mfano mwanaume akitahiriwa wa umri wa miaka 18 je inachukua muda gani kupona kabisa?

Na ustaarabu gani wa kufuata kipindi akishatahiriwa? Yaani kuhusu msosi na malazi pia!

Karibuni tuelimishane!

Ahsanteni na Mungu awabariki!
 
Ukishatahiliwa tu tafuta jicho kula donda litapona.....SIKU ZOTE ULIKUWA WAPI? 15000 tu?
 
Huo mfano si uachane nao tu? Kujiumiza na maswali meengi vile afu ni kwa mfano tu
 
Hapana kwa kweli ni aibu kubwa mno kukatwa iyo nyama ukubwani sasa cjui kakulia jamii gani uyo mshikaji?
Awe yy au asiwe yeye ilipaswa tu ashauriwe km alivyoomba na si kuanza kumshutumu moja kwa moja kuwa ni yy

Na hata km ni yeye mi naamini sio kosa lake coz hayo mambo ilipaswa wazazi wake ndio wamfanyie
Hata wewe ni wazee wako ndio walikufanyia

Sasa itoshe kumshauri tu basi
 
Sawa kabsa mwanangu nimekupata salute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…