Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Nasema hivi kutokana na uzoefu wangu pia yalinikuta,nashauri ukitaka kuajiri mtu ajiri mtu ambaye si rafiki yako kwenye biashara zako ndio ata kuheshimu na kujali biashara zako,hapo mwanzo mimi niliweka marafiki kutokana na kuwa hawana kazi za kufanya pia kama kuwasaidia lakini nilihishia kugombana nao,pia kuwatimua kazi na mpaka sasa hatuongei kutokana na upuuzi waliokuwa wanaufanya na walisahau nilipowatoa wakajua kampuni ni yao.
Ajiri mtu ambaye si rafik yako atakuheshimu sababu atajua akichemsha utamtimua haraka tofauti na marafiki ambao wengi ni wanafiki tu watajua uwezi kuwaqfanya kitu sababu ya urafiki wenu.
Huo ndio ushauri wangu si lazima ukubari ila marafiki ni wakuwa nao macho sana wengi si watu wazuri
Ajiri mtu ambaye si rafik yako atakuheshimu sababu atajua akichemsha utamtimua haraka tofauti na marafiki ambao wengi ni wanafiki tu watajua uwezi kuwaqfanya kitu sababu ya urafiki wenu.
Huo ndio ushauri wangu si lazima ukubari ila marafiki ni wakuwa nao macho sana wengi si watu wazuri