Hahah!! Embu naomba tukiwa tunajadiri vitu unichukulie kama mtu mzima mwenzako[emoji23][emoji23][emoji23] Una utu uzima gani mfyuuu na wewe vile vile ana acc tatu yaan nimefuta fb yangu kama miaka 6 iliyopita
Hahahah naanzaje sasa ghafla tu kukuchukulia mtu mzima mwenzanguHahah!! Embu naomba tukiwa tunajadiri vitu unichukulie kama mtu mzima mwenzako
Heheh... Niswala la imani tu hapo sasa vinginevyo labda na mimi nikuanzishie uzi wa kuomba meetingHahahah naanzaje sasa ghafla tu kukuchukulia mtu mzima mwenzangu
Miaka miwili iliyopita mbona ulikuwa unapost picha kwa speed Kali Sana.[emoji23][emoji23][emoji23] Una utu uzima gani mfyuuu na wewe vile vile ana acc tatu yaan nimefuta fb yangu kama miaka 6 iliyopita
Hakuna haja ya kuanzisha uzi ukuje tu pmHeheh... Niswala la imani tu hapo sasa vinginevyo labda na mimi nikuanzishie uzi wa kuomba meeting
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo unanijua kuliko ninavyojijua eenhMiaka miwili iliyopita mbona ulikuwa unapost picha kwa speed Kali Sana.
Nilikuwa napita tu rafikiNakuona nakuona [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo unanijua kuliko ninavyojijua eenh
Kumbe PM yako inafanya kazi? Aya nitakuja huko mida flaniHakuna haja ya kuanzisha uzi ukuje tu pm
Hahah... sawa rafiki mzima ww?Nilikuwa napita tu rafiki
Karibu sanaKumbe PM yako inafanya kazi? Aya nitakuja huko mida flani
Asante sana kibonge wangu [emoji1]Karibu sana
[emoji3][emoji3] mbona kibonge wakoAsante sana kibonge wangu [emoji1]
[emoji85] [emoji85][emoji3][emoji3] mbona kibonge wako
hahahahaMkuu ulianza kwa kuwakaribisha pm wakagoma, ukatangaza dau wakagoma pia, na huyo wa fb kakugomea pia?
Mkuu utakua na undugu na Dk Love Pimbi!
kwani fb unafuta au unadiakiveti, au uninstall..?? ulitumia simu na je hyo simu yako app ya fb ilikuwa pre installed au uliweka toka play store.....??[emoji23][emoji23][emoji23] Una utu uzima gani mfyuuu na wewe vile vile ana acc tatu yaan nimefuta fb yangu kama miaka 6 iliyopita
Sijambo best za wewe?Hahah... sawa rafiki mzima ww?