Wewe kakutia nani mkuu?Habari ndugu zangu!
Mimi ni mgeni humu ,nimeona nitoe nukuu kuwatia watu moyo.
Ahsanteni!
Wewe kakutia nani mkuu?
Labda ume kariri hivyo tu ndugu.Mkuu mgeni huelewi chochote. Asilimia kubwa ya waliotoboa ni njia haramu
Ila kumbe ni zwazwa au?😃unakuja na swaga kwa Great Thinkers
Kutiwa moyouna maanisha.......
Ubwabwa umekula mwenyewe madameWewe kakutia nani mkuu?
Aisee Kuna Siri nyingi kwenye utajiri.Unga, ba..ng..i, weapons, human trafic. Ndio biashara za hela duniani
weeeh! afadhali njoo PM kwanza nimekumisiKutiwa moyo
Jambo kubwa sana hili na wengi hawajui!Habari ndugu zangu!
Mimi ni mgeni humu ,nimeona nitoe nukuu kuwatia watu moyo.
Ahsanteni!
Uwe na Usiku mwema mkuuweeeh! afadhali njoo PM kwanza nimekumisi
Asante baby wanguUwe na Usiku mwema mkuu