Ukitaka kufanikiwa, fanya mambo kama yanavyotakiwa

Labda ume kariri hivyo tu ndugu.
Kuna watu wame barikiwa
Unajua maana ya asilimia kubwa au unakurupuka? Means kuna asilimia zingine ni njia halali

Ukifikisha miezi mi3 utaelewa jf ni nini
 
Habari ndugu zangu!

Mimi ni mgeni humu ,nimeona nitoe nukuu kuwatia watu moyo.

Ahsanteni!
Haaa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umekuja na mtindo wa peke Yako. Haya karibu jumba haijajaa bado
 
Haya ni matokeo ya kula pilau na kinywaji cha coca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…