Naona una Id mbili, moja unajipa like.Sasa mimi nasema hivi, ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, Usilime wala Kulimisha!
Wewe subiria wanaolima walime, wanaolimisha walimishe, wewe subiri mazao uyanunue. Tofauti na hapo ni ziro!
Acha Upumbavu basi, umeikuta thread katikati unataka kuamini ujinga wako.Naona una Id mbili, moja unajipa like.
Then unakutana na soko la small scale yan kama ni matikitiki umelima yakakosa soko utataman uyakamue then uoge hyo juisNafikiri ungesema ili ufanikiwe kwenye kilimo inabidi ulime kilimo cha kisasa in large scale.
Ukiwaza large scale farming hata soko unawaza large acaleThen unakutana na soko la small scale yan kama ni matikitiki umelima yakakosa soko utataman uyakamue then uoge hyo juis
[emoji33][emoji33][emoji33]kwan kauli yetu pendwa ya siasa ni kilimo imefutwa!?Sasa mimi nasema hivi, ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, Usilime wala Kulimisha!
Wewe subiria wanaolima walime, wanaolimisha walimishe, wewe subiri mazao uyanunue. Tofauti na hapo ni ziro!
wenzako tunalima tunauza nje,bei mara mbili ya ndani na tuko fresh tunasikia tu majirani wanadai hali imekua ngumu..we subiri kununua uoneWewe unazungumzia kesi tofauti.
Kuna wanaotaka wao wawe na maeneo yao ya kumiliki kwa ajili yakilimo hao ndo nimewakusudia.
Na kuna ambao wao wanafanya biashara na wakulima ndo hao umewakusudia wewe.
Ni kama nimeiona mahali fulani hapo juu neno kwa neno!Sasa mimi nasema hivi, ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, Usilime wala Kulimisha!
Wewe subiria wanaolima walime, wanaolimisha walimishe, wewe subiri mazao uyanunue. Tofauti na hapo ni ziro!
Kwa kweli nimecheka sina mbavu.umesema ukweli.ila usiwastue wengi wakaacha kulima.Sasa mimi nasema hivi, ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, Usilime wala Kulimisha!
Wewe subiria wanaolima walime, wanaolimisha walimishe, wewe subiri mazao uyanunue. Tofauti na hapo ni ziro!
Acha kukatisha watu tamaa mkuu kama we umeshindwa ni wewe tu mbona wapo wengi tu wamefanikiwa wana maisha safi kabisa nina mashaka we umekulia mjini hata jembe hujui kushika