The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
👇🏻
1.> Jikubali kuwa unaweza, na unaweza kuwa yeyote muda na wakati wowote.
2.> Epuka kuishi maisha ya kuigiza, ishi maisha yako halisi.
3.>Usiishi Maisha ya kushindana, yatakupelekea kuwa mtumwa wa kudumu.
4.> Asilimia 90, ya Maisha ya watu mitandaoni sio halisi.
Hivyo Yasikufanye ukajiona si' lolote. {Shika hilo.}
5.> Jifunze kuto ng'ang'ania vitu, Jifunze kuachilia baadhi ya mambo kwenye maisha yako.
6.> jifunze kutoshirikisha kila mtu shida yako.
7.> Jizoeze tabia ya kusamehe na kusahau.
8.> Epuka tabia za majivuno hata kama ulichonacho Wenzio hawana.
9.> Sio kila mtu, anafaa kujua vyanzo vyako vya mapato, Mafanikio ni kama nguo ya ndani haipaswi kuonwa na kila mtu.
10.> Using'ang'anie kinachokuumiza, tafuta njia nzuri ya kukiepuka, ikiwa kipo nje ya uwezo wako.
11.> Mwisho; Hakuna rafiki Mzuri na mwema kwako kama wewe mwenyewe.
Huhitaji kuwaamini wengine kama vile unavyohitaji kujiamini ili kufanya maamuzi sahihi.
#Topaz ✍🏿..
1.> Jikubali kuwa unaweza, na unaweza kuwa yeyote muda na wakati wowote.
2.> Epuka kuishi maisha ya kuigiza, ishi maisha yako halisi.
3.>Usiishi Maisha ya kushindana, yatakupelekea kuwa mtumwa wa kudumu.
4.> Asilimia 90, ya Maisha ya watu mitandaoni sio halisi.
Hivyo Yasikufanye ukajiona si' lolote. {Shika hilo.}
5.> Jifunze kuto ng'ang'ania vitu, Jifunze kuachilia baadhi ya mambo kwenye maisha yako.
6.> jifunze kutoshirikisha kila mtu shida yako.
7.> Jizoeze tabia ya kusamehe na kusahau.
8.> Epuka tabia za majivuno hata kama ulichonacho Wenzio hawana.
9.> Sio kila mtu, anafaa kujua vyanzo vyako vya mapato, Mafanikio ni kama nguo ya ndani haipaswi kuonwa na kila mtu.
10.> Using'ang'anie kinachokuumiza, tafuta njia nzuri ya kukiepuka, ikiwa kipo nje ya uwezo wako.
11.> Mwisho; Hakuna rafiki Mzuri na mwema kwako kama wewe mwenyewe.
Huhitaji kuwaamini wengine kama vile unavyohitaji kujiamini ili kufanya maamuzi sahihi.
#Topaz ✍🏿..