Fanya hivi weka link tuyachek maana mmeshaanza mambo yenu na dawa yenu kuwa report muwe banned 2 maana sasa mnaleta utoto
jombaa nina mabest wangu wa2 na mdogo wangu amepata hapo so kama ni blah blah achana nayo ila ukweli ndo huo brother[h=2]Selection Results for academic year 2012/2013 [/h]The following students have been selected to join various programmes for 2012 2013 academic year. However, they have to fulfill the following conditions for them to secure the chance:-THE SELECTED APPLICANTS TO JOIN VARIOUS PROGRAMMES IN IRINGA UNIVERSITY COLLEGE FOR 2012-2013 ACADEMIC YEAR:
Nikweli haya majina toka TCU au ndio kama kawa mnaleta mambo yetu ya blahblah
- Read the Joining Instructions put in the website and adhere to it;
- Must pay the prescribed fee for one to be registered. NOT OTHERWISE!
- The admission letters are found at the university at the admissions office.
sangito bro unajua private institution zipo kimaslahi zaidi wametoa mapema ili waanze kupokea na enroll haraka kakaVp kuhusu Mlimani na Udom jamani je hawajatoa bado???
Ipicalypse nakubali saana harakati zako humu jf since mwaka jana sema unaboa sasa jombaa nipo serious jaman acha ni link web au pdf kabisaaaaaaWameshaanza kuja kukusumbua? Ha ha ha ha kaazi kwelikweli
okey!! kama unaona na deserve BAN fanya hivyo mdauFanya hivi weka link tuyachek maana mmeshaanza mambo yenu na dawa yenu kuwa report muwe banned 2 maana sasa mnaleta utoto
na wewe pia unasubiri tcu mkuu...kwaiyo saiv huu ndo mpango ama tcu imeshindwa kureliz majina!?
for sure huwezi kuniamini hapa ila nadhani atatokea tu mtu humu amechaguliwa pale na ame apply kwa t.c.u then ndo utaamini anyway sio ishu mdau LINK HIYOOOOOOOO[h=2]Re: Hatimaye t.c.u wametoa majina ya selected applicants for 2012/2013 years of studies in iringa un[/h] Mbona kujitetea kwingi kaka majina ya direct applicants yale co via tcu kaka, jipange
visit hiyo link niloiweka broyalivyo kama direct entry vile wadau?
Leo kuna watu wamenipigia simu kutoka katika vyuo nilivyochagua wanasema nimechaguliwa kujiunga na hicho chuo is it posible wakuu?