Ukitaka kujua kuwa Waandishi wa Habari wa Al Jazeera wana lengo la kuichafua Israel sikiliza hii interview

Ukitaka kujua kuwa Waandishi wa Habari wa Al Jazeera wana lengo la kuichafua Israel sikiliza hii interview

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Ni interview aliyofanyiwa Douglas Murray na Mwandishi wa Habari wa Al Jazeera

 
Huyo Mother ni wa Aljazeera kwani? Nilimsikiliza leo anachuki tu na Israel ila uongo haudumu ndio maana vibaraka vinakosa maneno wanaumbuliwa..mno.. Nishana interview nyingi wanafuasi wa magaidi wanaumbuliwa yaani utacheka haswa.... kuna mwingine mmama alishawahi tekwa na taleban akawa muislam Yvonne Ridley Huyo ndio akili zake zimeisha kwa ushabiki anadai Hamas ni watu wema sana wamewapa zawadi mateka wa Israel

And Wafungwa wa kiarabu ni Wafungwa wa kisiasa
 
SHIDA kubwa walokole ni chuki tu kwa Wapalestina vile ni Waislam japo wapo wengi tu Cristian ktk huu Mzozo Wapalestina awajifuniki Shuka moja la Kislamu tu.

kwakuwa wanajua Wanaopigana wapo Waimani Tofaut lkn kwakuwa wengi ni Waislam na kudhingatia adui anamuofu zaid Muislamu

ndiomana Cristian wa Kipalestina Utazani wote ni Waislam kumtisha Adui!!! Uyo Tramp wenyewe mnakumbuka ile clip Tramp akiposikia mungu ni mkubwa alivoshtuka!!!!

Hamas na Wapalestina awakuwa na chaguo lengine zaid ya kuwateka Waisrael wawatumie kuwakomboa Wapalestina wenzao wanaoteswa uko Israel!!

Ndio mana Dunia inawaunga mkono! Wanajua walifanya vile kwakuwa awakuwa na njia nyengine!!!
 
Ni interview aliyofanyiwa Douglas Murray na Mwandishi wa Habari wa Al Jazeera

View: https://youtu.be/WqdIza8JEsE?si=U68eB6KSsg9wIYJg

Wewe punguani kweli Israel ni magaidi dunia nzima inajua ndiiyo manaa ICJ ilishatoa hukumu,
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Wapalestina 46,707 waliuawa
Katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, takriban watu 46,707 wameuawa huko Gaza, ambayo ni pamoja na watoto wapatao 18,000. Idadi ya waliofariki ina maana kwamba mtu mmoja kati ya kila watu 50 ameuawa huko Gaza. Wachambuzi wengi na makundi ya kutetea haki za binadamu wanaamini kwamba idadi halisi ya waliouawa ni kubwa zaidi.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Wewe jinga kabisa wamewauwa watoto zaidi ya 18,0000 bado mshipa wa umekusimama kuwatetea.
 
Al Jazeera ni chombo cha propaganda cha Hamas, juzi kati hapa Kuna mateka wa Israel walioachiliwa na Hamas wamekonda wamebaki mifupa tu wakivua shati mbavu unahesabu vizur tu ila hapo hapo Kuna mwandishi mmoja anaitwa Tarek Azoum wa Al Jazeera anakuambia " mateka wanaonekana Wana afya njema kabisa" kimoyo moyo nikajikuta tusi limenitoka
 
Wewe punguani kweli Israel ni magaidi dunia nzima inajua ndiiyo manaa ICJ ilishatoa hukumu,

Wapalestina 46,707 waliuawa
Katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, takriban watu 46,707 wameuawa huko Gaza, ambayo ni pamoja na watoto wapatao 18,000. Idadi ya waliofariki ina maana kwamba mtu mmoja kati ya kila watu 50 ameuawa huko Gaza. Wachambuzi wengi na makundi ya kutetea haki za binadamu wanaamini kwamba idadi halisi ya waliouawa ni kubwa zaidi.

Wewe jinga kabisa wamewauwa watoto zaidi ya 18,0000 bado mshipa wa umekusimama kuwatetea.
Kapimwe akili!

God bless Israel
 
Mama mbona ananipima kila siku.
😀😀😀

Anayapima marinda yalo kama bado yapo ama yamesha haribiwa.

Usisite kumtembelea kupata matibabu kwake ni Daktari mzuri Sana.

God bless Israel
 
Serikali ya Qatari ni ya kinafiki sana

Haichagui upande mmoja kama Iran inavyofanya

AL Jazeera inamilikiwa na serikali ya Qatari, lakini pia serikali hiyo hiyo ni wafadhiri wa Hamas

Lakini pia serikali hiyo hiyo ina mahusiano na Israel
 
Wewe punguani kweli Israel ni magaidi dunia nzima inajua ndiiyo manaa ICJ ilishatoa hukumu,

Wapalestina 46,707 waliuawa
Katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, takriban watu 46,707 wameuawa huko Gaza, ambayo ni pamoja na watoto wapatao 18,000. Idadi ya waliofariki ina maana kwamba mtu mmoja kati ya kila watu 50 ameuawa huko Gaza. Wachambuzi wengi na makundi ya kutetea haki za binadamu wanaamini kwamba idadi halisi ya waliouawa ni kubwa zaidi.

Wewe jinga kabisa wamewauwa watoto zaidi ya 18,0000 bado mshipa wa umekusimama kuwatetea.
Quran imechanganya niches yako!!😇
 
Wewe punguani kweli Israel ni magaidi dunia nzima inajua ndiiyo manaa ICJ ilishatoa hukumu,
Ogh ugh ughfff... Hukumu? una miaka mingapi dogo? Watumwa wa Allah Mbona hamna akili hebu kabong'oe kwanza msikitini kwa iblis ndio uje uandike tena... Hukumu gani imetolewa ICC zaidi ya ujinga ujinga uliokuwa unaendelea mahakamani watu waliishia kucheka tu.. explaination ya Genecide sio South Africa wala Ireland aliyeweza kutamka ikoje Wakili Mama wa Uganda akawaambiwa acheni upumbavu mnaleta ushabiki maandazi kwenye Sheria akapinga... Kilichoendelea Iblis wa Qatar pesa zake zimeumbuka... Unachafua nchi kwa uongo wako.. huku unajua ukweli hauchanganyiki na uongo

Wapalestina 46,707 waliuawa
Ukiulizwa source umetoa wapi uaishia tu kusema kwa Waziri wa Afya wa Hamas.. mtuhumiwa ndie source hahahahaha... hakuna Gaidi la Hamas lililouwawa hata Sinwar Pelekeni taarifa zanu kwa Allah ndie anayependa uongo iblis wenu ndugu yenu katika uislam maana Mtume wenu alisema alimsilimisha pale alipomuingilia akawajengea na msiki tul jinn pale Mecca
Katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, takriban watu 46,707 wameuawa huko Gaza, ambayo ni pamoja na watoto wapatao 18,000. Idadi ya waliofariki ina maana kwamba mtu mmoja kati ya kila watu 50 ameuawa huko Gaza. Wachambuzi wengi na makundi ya kutetea haki za binadamu wanaamini kwamba idadi halisi ya waliouawa ni kubwa zaidi.
Wanaamini ndio ujinga wenu Quran isiyo na Mungu imeletwa na Adui wa Jibril ambaye ni Iblis... endeleeni kuamini
Wewe jinga kabisa wamewauwa watoto zaidi ya 18,0000 bado mshipa wa umekusimama kuwatetea.
Hao watoto weka na vyanzo vyao hadi wauwawe.. hakuna mahandaki ya kuzuia raia wasiuawe? au ndio walitumika kama kinga? ukitizama video za kila siku Gaza watoto ndio wengi sana.. utaperi wenu haufui dafu kwe Netanyahu.. Allah anadanjishwa tu akijiweka mbele.. nadhani kwa kipig hiki hamna hamu kuchezea wayahudi.. bakini na kidomo domo tu.. ila Baba ni Baba len Netanyahu
 
Ogh ugh ughfff... Hukumu? una miaka mingapi dogo? Watumwa wa Allah Mbona hamna akili hebu kabong'oe kwanza msikitini kwa iblis ndio uje uandike tena... Hukumu gani imetolewa ICC zaidi ya ujinga ujinga uliokuwa unaendelea mahakamani watu waliishia kucheka tu.. explaination ya Genecide sio South Africa wala Ireland aliyeweza kutamka ikoje Wakili Mama wa Uganda akawaambiwa acheni upumbavu mnaleta ushabiki maandazi kwenye Sheria akapinga... Kilichoendelea Iblis wa Qatar pesa zake zimeumbuka... Unachafua nchi kwa uongo wako.. huku unajua ukweli hauchanganyiki na uongo


Ukiulizwa source umetoa wapi uaishia tu kusema kwa Waziri wa Afya wa Hamas.. mtuhumiwa ndie source hahahahaha... hakuna Gaidi la Hamas lililouwawa hata Sinwar Pelekeni taarifa zanu kwa Allah ndie anayependa uongo iblis wenu ndugu yenu katika uislam maana Mtume wenu alisema alimsilimisha pale alipomuingilia akawajengea na msiki tul jinn pale Mecca

Wanaamini ndio ujinga wenu Quran isiyo na Mungu imeletwa na Adui wa Jibril ambaye ni Iblis... endeleeni kuamini

Hao watoto weka na vyanzo vyao hadi wauwawe.. hakuna mahandaki ya kuzuia raia wasiuawe? au ndio walitumika kama kinga? ukitizama video za kila siku Gaza watoto ndio wengi sana.. utaperi wenu haufui dafu kwe Netanyahu.. Allah anadanjishwa tu akijiweka mbele.. nadhani kwa kipig hiki hamna hamu kuchezea wayahudi.. bakini na kidomo domo tu.. ila Baba ni Baba len Netanyahu
Uharo mtupu.
 
Uharo mtupu.
Sijawahi ongea uharo kama wewe... Vipi Tz huko mmejiandaa kupokea Waarabu wa Gaza wangapi au bado mnaleta danadana kumchelewesha Trump ?
 
Back
Top Bottom