CAIRO (AP) - Misri inasonga mbele na mpango wa kuijenga upya Gaza bila kuwalazimisha Wapalestina kutoka nje ya eneo hilo kujibu pendekezo la Rais D… Source: JamiiForums search.app
CAIRO (AP) - Misri inasonga mbele na mpango wa kuijenga upya Gaza bila kuwalazimisha Wapalestina kutoka nje ya eneo hilo kujibu pendekezo la Rais D… Source: JamiiForums search.app
Ruksa labda wapewe na Bezalel Smotrich.. kwanza Misri keshapewa onyo hasikii tu bado yeye ndie munafiq silaha anawapa Hamas na mahandaki yake eti anajifanya aijenge Gaza wakati kwake hawezi kuhudumia raia wake hata hiyo Sinai tu haiwezi Lengo la Waislam ni kuiangamiza Israel kwa Mujibu wa Koran na jibu pia lipo kwenye Quran kuwa Waisrael wapigane hadi kiama... so Mtashindwa tu.. Hilo Jambo sahahuni... Misri aliambiwa apewe Gaza akakataa now kimbelembele front
Netanyahu vows to "open the gates of hell" if all hostages in Gaza not returned