Ukitaka kujua msichana wa chuo hakutaki tena haya ndiyo majibu yao


nimecheka mpaka basi dah! mbona ni wasichana tu kwani wavulana wa chuo nao hawana vibweka vyao?
 
Thru experience nimeiona hiyo sana na kunitokea ukiona hivyo ww kula kona kwani hapo huna chako.
 
buku tano anakula kwako ama hgirlwa wengine??sikuhizi ukibagain mshahara buku 30 unamwambia ntakuongezea 10-15 yako sasa anaipataje ndio naona hako kamchezo ndio mnakatumia san sana anyway kazi ipo
HG wa jirani kaka, mbona iko wazi? tunaongezea kwene hiyo buku 30 halafu tunapunguza uzito.
 

pole kaka!ndio kukomazwa huko!bila shaka sasa upo imara sana nothing will shake you!si ndio mkuu?
 

Wengi huwa hawana mahusiano ni kupoteana muda tu, mi niliachwa nadent wa IFM kwa vigezo vya kipuuzi aisee
 
hiyo ndio dawa mkikaribia kumaliza chuo unampotezea.

Nyie ndo mnaotukosesha wengine wake wa kuoa. Hivi ukishafanya hivyo, huyo demu atakuja kumuamini kidume mwingine kweli pindi utakapomtosa? Aisee bora umshawishi kwa vingine sio hiyo gia ya pete, unamtia mkosi mtoto wa watu aisee!
 
stori nyingine kama mtu ndo target zinachosha kweli,
mi napita tu
 
we mkal.!!! Yamekukuta nn mkuu..
Jibu hilo hapo chini...siyo lazima niwe mimi
 
Namalizia kuandaa part 11 ya wavulana namna wanavyopiga chini,
 

Ukiona umejibiwa majibu ya namba 2,6,7,8,JUA HUNA CHAKO HAPO!
 


u said it all. FACT..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…